Recent content by intermediate

  1. intermediate

    ID's kongwe JamiForums ndo habari ya mjini!!

    Umesema za kwanzia mwaka gani nije nazo zote hapa
  2. intermediate

    Nakaribia kuhitimu chuo ila sijui kuhusu chochote nilichosomea

    Yani usiwaze kaabisa kitu cha kawaida hiko mko wengi sana mambo yatajiset mbele kwa mbele
  3. intermediate

    Champions League last 16: Real Madrid kuivaa PSG; Chelsea kukipiga na Barcelona

    Barca toka 96 mpk 2005 anampiga chelsea 2005 chelsea kaanza kumsumbua kampiga Mara 3 tu na kuwekwa na draw.. Sasa game moja inafanyutoe hayo maamuzi auu halaf barca hakufungwa now camp alidraw . Chelsea anamsumbua tu barca ..barca anamuacha chelsea ..dawati la ubishi sikai
  4. intermediate

    Champions League last 16: Real Madrid kuivaa PSG; Chelsea kukipiga na Barcelona

    Chelsea hawezi kumtoa barca, wakati wote huwa ni anamsumbua tu na barca kupata ushindi hafifu sana ..lakini haitotokea chelsea amtoe barca. PSG anatolewa na R. Madrid
  5. intermediate

    Akili ya mwanamke ushawishi wako tu

    Huyo huyo mama aliaminiwa na Baba lakini kumbuka.
  6. intermediate

    Nguvu Iliyotumika kumtoa shabiki wa Rooney itumike Kibiti

    tena front line,,shame WEWE UNAAKILI KWELI? POLISI WANAFANYAKAZI NZURI YA KUPAMBANA NA WALE WAHALIFU, ACHENI KUSHABIKIA WAHALIFU, ASKARI WETU SONGA MBELE MSISIKILIZE MANENO YA KIJINGA YA BAADHI YA WATU, TUNAAMINI MUDA SI MREFU MAJAMBAZI YOTE MTAYAANGAMIZA.
  7. intermediate

    Nguvu Iliyotumika kumtoa shabiki wa Rooney itumike Kibiti

    Hain Haina maaana yoyote, unaweza ukavunja mguu bure, kisa kwenda kumkumbatia star!! watanzania tujitambue hata kidogo tu,
  8. intermediate

    Ushauri: Nimekuta 'urine pregnancy test' kwenye kimkoba cha binti yangu

    SI LUGHA NZURI KUSEMA HIVYO, SAHIHISHA KAULI YAKO, LEO KWA YULE KESHO NI KWAKO,
  9. intermediate

    Ushauri: Nimekuta 'urine pregnancy test' kwenye kimkoba cha binti yangu

    Hujui hayo unayoyaongea kama ungekuwa mzazi usingesema hivyo, wazazi tuna wajibu wa kuangalia kuna nini ambacho si cha kawaida kipo kwenye mifuko ya watoto wetu, hivyo hakufanya kosa kuangalia kwenye mfuko wa binti yake.
  10. intermediate

    Mauaji Kibiti: Mkazi wa Nyambwanda, Hamis Ndikanye auawa kwa risasi

    UNAJUA UNACHOKIONGEA? ASKARI WETU MUNGU WETU AWAPE UJASIRI HADI KUNDI LOTE LA HAO WAUWAJI LIMETOKOMEA.
  11. intermediate

    Tabia gani ulishindwa kuacha ukiwa shuleni?

    MJ ? Majengo?? wanafunzi wa hapo ni vichaa mpk walimu
  12. intermediate

    WanaHipHop wote tukutane hapa Fid q Vs Nash Emcee (2)

    Nash ni mpuuzi kuna siku nikaskia anasema Nash EMCEE Uandishi kama wa shaban robert nikasema huyu mpuuzi hana anachokijua zaidi ya kufuga mandevu uchizi tuu
  13. intermediate

    Free unlock code day

    mkuu hii vodafone smart tablet 3G imei 355860064319344 Svn 040FNG2 tafadhari msaada wako mkuu
Back
Top Bottom