Barca toka 96 mpk 2005 anampiga chelsea 2005 chelsea kaanza kumsumbua kampiga Mara 3 tu na kuwekwa na draw..
Sasa game moja inafanyutoe hayo maamuzi auu halaf barca hakufungwa now camp alidraw . Chelsea anamsumbua tu barca ..barca anamuacha chelsea ..dawati la ubishi sikai
Chelsea hawezi kumtoa barca, wakati wote huwa ni anamsumbua tu na barca kupata ushindi hafifu sana ..lakini haitotokea chelsea amtoe barca. PSG anatolewa na R. Madrid
tena front line,,shame
WEWE UNAAKILI KWELI? POLISI WANAFANYAKAZI NZURI YA KUPAMBANA NA WALE WAHALIFU, ACHENI KUSHABIKIA WAHALIFU, ASKARI WETU SONGA MBELE MSISIKILIZE MANENO YA KIJINGA YA BAADHI YA WATU, TUNAAMINI MUDA SI MREFU MAJAMBAZI YOTE MTAYAANGAMIZA.
Hujui hayo unayoyaongea kama ungekuwa mzazi usingesema hivyo, wazazi tuna wajibu wa kuangalia kuna nini ambacho si cha kawaida kipo kwenye mifuko ya watoto wetu, hivyo hakufanya kosa kuangalia kwenye mfuko wa binti yake.
Nash ni mpuuzi kuna siku nikaskia anasema Nash EMCEE Uandishi kama wa shaban robert nikasema huyu mpuuzi hana anachokijua zaidi ya kufuga mandevu uchizi tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.