Nakaribia kuhitimu chuo ila sijui kuhusu chochote nilichosomea

Nakaribia kuhitimu chuo ila sijui kuhusu chochote nilichosomea

Hata tukikushauri baadae tena utasahau tulichokushauri. Bora ubaki hvyo hivyo tu.
 
Kawaida mkuu . hauko peke yako vitu vitajiseti vyenyewe kazini
 
Nani kakuruhusu wewe kutumia hii code yangu ya 666? Alaf wapumbavu mko wawili kuna wewe na mpumbavu mwingine hr 666 mnanivurugia heshima yangu humu jf, si unaona kama wewe hujui lolote maishani.
 
Nipo mwaka wa tatu naenda wanne lakini sijui chochote kile ninachokisomea yani mi ni mtu wa kukariri kwa kwenda mbele pepa ikiisha nasahau vyote

Na semester ikiisha ndo kabisa nasahau kabisa nilichojifunza semester nzima .

Mbaya zaidi hata vitu nilivyosoma advance navyo kama nilipita patupu yani nipo mweupe peee kama karatasi.

Sasa naona kabisa nikiajiriwa nitaaribu kazi za watu tu .

Sasa nipeni ushauri nifanyeje kuacha chuo siwezi naona nitakosa title mtaani ,lakini nachokisoma sikielewi nashindwa hata ambao hawakwenda shule kabisa angalau wau wana mwangaza kuliko mimi.
Adv ulisoma comb gani
 
kuna mdau humu jf (nimemsahau)ameandika/aliandika status inayosema "education is what remains in your head after finishing the school" (huwenda maneno sijayapatia sawasawa ila content ipo sawa)

Kwa hiyo mkuu usijali...ukitafakari vizuri hiyo nukuu hapo basi utakuwa na majibu sahihi ya tatizo lako.
 
Kwa kweli wewe umeamua tu kutuvunja mbavu.😀😀😀😀😀
 
We jamaa kosa si lako Bali ni mfumo tulionao sio rafiki na sio fikirishi. Kenya au Uganda ukimaliza high school wewe unaweza kupambana kimaisha, hapa kwetu ukimaliza degree unakuwa darasa la 7.

Juzi alikuja jamaa hapa Ujeruman kutokea bongo alikuja kuomba kazi hapa nilipo Mimi na unfortunately hakujua kama mi pia ni mbongo nikamwambia andika barua lete kesho saa4.

Cha kusgmhangaza kaja SAA 12pm na maneno kibao nkamwambia umeshafeli usailhili was kwanza, sasa kuhusu alichoandika mle kwenye barua ni aibu kukisema hapa. Dah

Ushauri....
Hakikisheni mnaitoa CCm 2020 maana huyu ndio adui number moja hapo Tanzania
Ujinga mwingine wa watanzania kusifia kila cha Kenya au nje na kuponda kila kitu chao huu.

Hao Kenya na Uganda wapo wapi kama la Saba wao ni Bora kiasi hicho? Failures wa bongo wanaenda Uganda na wanafaulu huko afu unasifia elimu ya Uganda. Smdh

Kuna mambo mengi yanachangia elimu ya mtu ikiwemo mazingira aliyokulia, shule alizosoma, nidhamu yake nk. Kuna la Saba wengi tu hapa bongo wanafanya vizuri na Kuna wenye degree wengi tu Kenya hawana kitu. Acheni ujinga wakusifia kila kitu cha Kenya
 
Ujinga mwingine wa watanzania kusifia kila cha Kenya au nje na kuponda kila kitu chao huu.

Hao Kenya na Uganda wapo wapi kama la Saba wao ni Bora kiasi hicho? Failures wa bongo wanaenda Uganda na wanafaulu huko afu unasifia elimu ya Uganda. Smdh

Kuna mambo mengi yanachangia elimu ya mtu ikiwemo mazingira aliyokulia, shule alizosoma, nidhamu yake nk. Kuna la Saba wengi tu hapa bongo wanafanya vizuri na Kuna wenye degree wengi tu Kenya hawana kitu. Acheni ujinga wakusifia kila kitu cha Kenya
Mjinga ni yule anayetetea ujinga na kuuona ni werevu. Hivi unaeza fananisha ubora wa elimu ya tz na Kenya wewe? Unajua au umewahi kifija Kenya wewe? Umewahi kusoma Kenya au na wakenya wewe? Tatizo hamna exposure
 
Anza kunywa pombe ya mnazi, huwa inasaidia sana upande wa kumbukumbu.
 
hicho kitu hakiwezekani ....hangeshakutema muda sana . ...ni hivi hatuoni kua dunia inazunguka kwa sababu tunazunguka pamoja nayo ...hujiamini tu
 
Mjinga ni yule anayetetea ujinga na kuuona ni werevu. Hivi unaeza fananisha ubora wa elimu ya tz na Kenya wewe? Unajua au umewahi kifija Kenya wewe? Umewahi kusoma Kenya au na wakenya wewe? Tatizo hamna exposure
Unaongea na mtu anayeijua Kenya Kama njaa. Watanganyika mnaamini kila cha Kenya ni bora, chochote cha Kenya kwenu ni Bora hata mavi yao mnasifia. Inferiority complex ya watanganyika ni ya kiwango cha juu.
 
Jiunge ccm alafu anza kujipendekeza kwa bashite utapata cha kufanya, awamu hii sio lazima uwe msomi chamsingi uwe mchapakazi tu!
 
Hapo ukikosa ajira ndugu zako watasema umerogwa kumbe siri unayo mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom