umesema kweli hawa jamaa wanaboa, kwani hata baadhi ya waeangazaji wake ni wake wake wasikuwa na pumzi za kutangazia, mfano ni Gamba, huyu jamaa anafanya kazi kwa kubahatisha ila anahema sana wakati wa kutangaza sijui ni bahati au ukabila ndio kigezo cha kupata kazi ITV, kwa kitaaluna ni hovyo