Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,882
- 2,374
Hakuna mwenye roho mbaya hapa JF, ila wewe ndo unawachanganya wana JF kwa kutaka kufikia kwa Msichana. Mi ushauri wangu nenda na Msichana wako au mkeo, usije ukaharibikiwa, Arusha si Mchezo!sasa unakasirika nini si umetangaza mwenyewe lakini?vipi humtaki huyo wa mc lema?sema tuu
Kuna watu wanaroho mbaya hapa JF
Hakuna mwenye roho mbaya hapa JF, ila wewe ndo unawachanganya wana JF kwa kutaka kufikia kwa Msichana. Mi ushauri wangu nenda na Msichana wako au mkeo, usije ukaharibikiwa, Arusha si Mchezo!
Naelekea AR kwa rikizo ya one week, ningependa nifikie kwa msichana yeyote aliyoko single wa JF. safari yangu itakuwa poa sana nitaishi naye kwake huku tukijadiri mambo mengi na ni mara ya kwanza mimi kufika Ar. Tutaanzisha thread pamoja kwa furaha.
sipendi nifikie kwa mwenye famiria au mume sababu ziko wazi wamaume tuna wivu sana. Nasubili majibu yenu vimwana wa AR.
na hiyo kwenye red ni kanda gani???????????????
kanda ya Tarime mkuu
Kwa nini nifikie kwa mwanaume? unaweza kufikia kwa rijambazi ati. sijapata PM yeyote Arusha mpooo? halafu naskia kuna baridi kwerikweri
Hizi style zinanilkumbusha dada nani vileeeeeee alikuja post yake ya kwanza anatafuta mchuba yaani hakuna tofauti sana na huyu wewe Arusha hotel zote hujaziona mpaka ufikie kwa watu? Wacha!!
Hala hala ndugu watu wa Arusha hawana dogo,kwa ushauri wa bwelele fikia nyumba za wageni,uliza wenzako wamejikuta wako Mount Meru hospital wakiwa hawana naniliu au wameshananiliu.Wanawake wa Arusha waogope kama wenye ukoma
Naelekea AR kwa rikizo ya one week, ningependa nifikie kwa msichana yeyote aliyoko single wa JF. safari yangu itakuwa poa sana nitaishi naye kwake huku tukijadiri mambo mengi na ni mara ya kwanza mimi kufika Ar. Tutaanzisha thread pamoja kwa furaha.
sipendi nifikie kwa mwenye famiria au mume sababu ziko wazi wamaume tuna wivu sana. Nasubili majibu yenu vimwana wa AR.
mi bado sijelewa kwa nini anataka tu single wa jf memba,analengo gani na masingle ladies wa jf.