Opportunist
Member
- Mar 19, 2009
- 17
- 12
Mwenzenu huwa natatizwa na Selection ya Form IV kwenda Form V, Vyuo nk. Huwa inakuwaje waliofaulu vizuri wanaenda A-Level, vyuo vizuri nk, lakini wale wa karibu na kufeli kabisa kama Div IV.28 hivi ndo wanaopelekwa ktk kozi za Ualimu, tunategemea nini kwa watoto wetu mashuleni wanapofundishwa na 'failures'? Nisaidieni