Pesa yake,kampuni yake,maamuzi ni yake.
Wewe kinakuuma nini ?
Hamia kwenye ving'amuzi vingine vyenye channels uzipendazo,bakhresa tuachie sisi tunazozipenda channels zake.
Yaani wakristo mna chuki sana na waislamu,serikali mnaendesha nyie kwa asilimia 99 tangu tupate uhuru,sasa hamridhiki...