Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,840
- 11,775
Mzee Rugemalira alikuwa anakuja sana home kupiga story na mshua.
Ni mtu ninayemjua kama hivyo, si kwa kumsoma magazetini tu.
Siwezi kumsahau kwa kuwa kapata matatizo tu leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudia kusoma maelezo yake uyaelewe.Kama yeye kakiri ana trilion nyingi hivo za serikali wewe ni nani hata useme aachiwe. We mpumbav tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Atafarijika sana......Mzee Rugemalira alikuwa anakuja sana home kupiga story na mshua.
Ni mtu ninayemjua kama hivyo, si kwa kumsoma magazetini tu.
Siwezi kumsahau kwa kuwa kapata matatizo tu leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamekupiga wewe na nani?Hao watu hamna haja ya kuwaonea huruma wametupiga sana asee
Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Subiri ukue, acha kiherehere
na watanzania wote isipokuwa wewe..
.. Kwani ule msamaha haukumuhusu?? Nakumbuka yule anaejihisi kwamba yy ni mungu alisema kuna watu wamekondeana kweli kweli lzma tuwaonee huruma akimaanisha hawa, inakuwaje mpk sasa wapo ndan bado.Hapo akitoka maisha yanaendelea
Huyu wa kiume...alikua n vibe sio la kawaida..anywys lbda ameshzoea hyo hali!Nani Jerome au jesca?
ilikuwaje atakuwa jerome mzee wa totoz na windhoekNimeonana na mwanaye xmas dah😷
kaka haya mambo hayana formula ujueJamaa mkewake in pin ile mbaya bado anatotoz za nje?
Huyu wa kiume...alikua n vibe sio la kawaida..anywys lbda ameshzoea hyo hali!
Hivi Mzee Mark Bomani yuko wapi siku hizi?Mzee Rugemalira alikuwa anakuja sana home kupiga story na mshua.
Ni mtu ninayemjua kama hivyo, si kwa kumsoma magazetini tu.
Siwezi kumsahau kwa kuwa kapata matatizo tu leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisema lini ?Mbona kikwete aliwahi kusema mwenye iptl ni swahiba wake wa zamani Lowassa