LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,312
- 6,638
Samahani ndugu zanguni,kuna swala linanitatiza kidogo hapa nataka nipate ilmu na ufahamu zaidi ,kuna rafiki yangu yeye ni muislamu,ana biashara zake huwa anazifanya,sasa leo katika status ya whatsapp kapost tangazo la biashara ya kitimoto,anatangaza soko la mshkaji wake kuwa anauza kitimoto nzuri na mazingira ni masafi,wateja wakaribie..nimeshtushwa na nikamuuliza kwanza kama anatumia kitimoto?na je alichokifanya ni sahihi kulingana na imani ya dini yake?
Majibu yake ni kwamba yeye hatumii hiyo bidhaa,lakini pia haoni tatizo kwa maana amesaidia kutangaza soko la his royal friend,je yupo sahihi kwa alichokifanya kutokana na misimamo mikali ya dini ya kiislamu?lengo langu nataka kujua na kujifunza kitu kipya kutokana na hili,naomba kuwasilisha.
Majibu yake ni kwamba yeye hatumii hiyo bidhaa,lakini pia haoni tatizo kwa maana amesaidia kutangaza soko la his royal friend,je yupo sahihi kwa alichokifanya kutokana na misimamo mikali ya dini ya kiislamu?lengo langu nataka kujua na kujifunza kitu kipya kutokana na hili,naomba kuwasilisha.