Hii inaweza kuwa ni salamu kwa CUF kujipanga kuelekea uchaguzi mkuu ujao 2015. Inaonekana serikali ya umoja wa kitaifa imekuwa mwiba sana kwa wapinzani walionekana kuwa na nguvu mfano Kenya na sasa Zimbabwe.
Sioni ajabu, inategemea chanzo cha penzi nini.
Kuna ukweli ambao upo lakini watu wanasahau kusema. Siku hizi mtizamo wa mapenzi umelenga sana pesa au mali. Sitaki kusema akina dada ni machangu hapana ila kiukweli correlation ya mapenzi na pesa ni strong positive.
Hali hii imewafanya wanaume...
A big week for Hadzabes, free delicious monkey meat and marijuana!!
According to recent records these fellow countrymen number is estimated to be 227 down from 750 as per 1985 census. The growth rate is negative, their survival is under serious threat. The results of this census should be used...
No one to blame, he got screwed up the most by himself!?
A serious public leader should always strike a balance between serving oneself and serving the needs of the other people. Pleasing others at all costs doesn't make much sense, and you know what, it costs in many ways including your own...
Well, mimi naona ni wazo zuri. Ukomo utatoa fursa zaidi kwa wanawake wengine kuja na mbinu mbadala za kuwaletea wananchi maendeleo katika jamii wanazoziwakilisha kupitia siasa za kibunge.
Natofautiana nao kitu kimoja, kwamba ukomo usiishie kwenye viti maalum pekee uendelezwe pia kwa wabunge wa...
Government spending needs to be checked. I mean, it is time for government to cut back and spend less - freeze unnecessary spending.
"All of the problems we're facing with debt are manmade problems. We created them. It's called fantasy economics. Fantasy economics only works in a fantasy world...
Lakini Nyerere alikuwa na mtizamo tofauti kuhusu matumizi ya lugha ya Kiingereza, angalia nukuu yake hapa chini.
"Tunao waswahili ambao jambo la kipumbavu likisemwa kiingereza lionekana la maana sana" J.K. Nyerere
Kweli, wala hakuna ubishi.
Tukio la CUF halina tofauti kabisa na lile la NCCR. Hawa wazee ni viongozi wa kidini sasa kama hoja ni kulainisha mambo na kuondoa vitisho vya kutoweka kwa amani na pia kuwa wapatanishi mambo yanapoenda ndivyo sivyo, kwa nini wajikite kwa CUF pekee?
FJM,
Kuna haja kweli ya kuwalaumu wamericani kwa hili?
Mimi nadhani ni sisi wenyewe ndiyo tunatakiwa kujipanga kufanya uchambuzi wa kina kuhusu Uranium. Hii ni pamoja na kuwatembelea nchi wozoefu ambao tayari wanachimba madini haya. Kwa kufanya hivi tutajenga ufahamu wa kutosha utakaotuwezesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.