GUARDIAN UK: January Makamba fighting corruption in Tanzania

Rushwa inayomuumiza mtanzania si hii inayoombwa na clinical officers au nurses kwenye vituo vyetu vya afya. Ni ile inayotolewa na multinationals kwa viongozi wetu kama vile tunavyosikia kuwa wamewekewa billions huko Uswisi, na kama vile Barrick walivyompa Makamba huyuhuyu billions kuwasaliti watanzania wenzake wa Nyamongo.

Huu ni upotoshaji,
rushwa zote ni mbaya. Clinical officer wa leo ndio waziri wa afya wa kesho. Akishajenga tabia ya rushwa, hawezi kuacha akiwa ofisi ya juu, kitakachobadilika ni amount tu. Kupiga rushwa kubwa vita wakati tunakumbatia rushwa ndogo ni sawa na kujaza maji kwenye gunia...
 
..HAJAWAHI KUCHUNGA MBUZI KWA BIBI YAKE KUANZIA SAA TATU HADI SAA KUMI NA MOJA HUYU! Alizaliwa na KIJIKO CHA DHAHABU MDOMONI. Wanaochunga Mbuzi ni Wale wadogo zake kwa mama mwingine kule Mahezangulu.

Halafu anadai kuwa ni mtoto wa Baba 'Mwalimu, mwanaSiasa na mtumishi wa Umm', Sawa. Mbona hakuweka wazi pia kwamba Baba yake pia alikuwa KATIBU MKUU WA CHAMA TAWALA???
 
Ninayo maswali mawili kwako Pasco.

1. Huyu bwana amewahi kutuhumiwa kuhongwa na Barrick alipokuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge ya madini na nishati baada ya wananchi wa Nyamongo kuuliwa na polisi. Unadhani alikuwa anapakaziwa? Kama una shaka ninao ushahidi na ninaweza kuumwaga hapa.

2. Unasema the guy is brilliant and fit upstairs, do you sincerely and honestly think and believe that the likes of Chenge who are said to have deposits of billions of shillings obtained corruptly in Swiss banks are not?

We need patriotism more than the brilliance of the Makambas to liberate this sunken nation.
 
Last edited by a moderator:
acha pumba Bhuriani ameshinda ubunge lindi kwa upinzani itakuwa Tanga? January Makamba sio lolote sio chochote, ni mtu wa kujikomba kama baba yake, January Makamba na baba yake wapo Lowassa Camp
 
Pasco,

So kwa kusafiri naye flight moja, God knows to where, na kupanda Lifti yake, Again God knows to where, Tayari umeishamfahamu vizuri sana JM kiasi cha kusimama hapa na kutushuhudia kuwa He is Not a Junior Fisadi in the Making?

Je ni kweli katika hizo mara mbili(?) tu mlizokutana umeishamfahamu vyema JM kiasi cha kumuona anafaa kubaki na kupigana vita ya rushwa within CCM kwa sababu tu 'anaifahamu Tanga vizuri na hakutaka kupoteza opportunity ambazo zingepotea kwa kuwa CDM?? Really, Fellow Great Thinker?

Kwa hiyo wewe na Mheshimiwa JM mnataka kutuambia kuwa Nobody can Do Nothing Nowhere unless he/she is a CCM Cadre?
Kwamba haya majimbo yote yaliyoshikwa na wapinzani hayana maendeleo yoyote unless Wabunge wote wahamie CCM kwa maana hiyo kuthibitisha ile blackmail ya "ukitaka biashara zako zikunyookee peperusha bendera ya CCM"?

Je Opportunity kwa ajili ya kuinua uchumi wa Bumbuli ndio hizi za kufungua Ofisi za bei mbaya pale Water Front ambazo hata mpiga kura wa Bumbuli ataogopa kuingia?
 
Last edited by a moderator:
Sitaki kuwa mnafiki saana kwa sababu ya itikadi, Mh. January Makamba mimi namkubali kwa utendaji wake, ila hii habari haiko balances, kapambana na rushwa kivipi? Sidhani kama katika vita ya ufisadi mwana CCM yoyote anaweza pigana nayo! But, all in all, Makamba anajitahidi, Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
 
Western Media stream at work! wala sishangazwi hawa watu wa ulaya ni wanafiki wakubwa na ni sumu mbaya snaa...
 
Mkitaka kumjua Makamba junior ni nani na anaushirikiano gani na watuhumiwa wa ufisadi, muulizeni mzee Shelukindo, alilia kama mtoto mdogo. Ni huyu huyu aliyemwaga dau la kutosha kuhakikisha kuwa anapita bila kupingwa.

Hivi kwa wanaJF inaingia akilini kweli mtu anagombea kwa mara ya kwanza akapita bila kupingwa? Kijana huyu ni Zitto wa CCM. Wote wanataka urais.
 
Huu ni upotoshaji,
rushwa zote ni mbaya. Clinical officer wa leo ndio waziri wa afya wa kesho. Akishajenga tabia ya rushwa, hawezi kuacha akiwa ofisi ya juu, kitakachobadilika ni amount tu. Kupiga rushwa kubwa vita wakati tunakumbatia rushwa ndogo ni sawa na kujaza maji kwenye gunia...
Mkuu,
Watu wanashindwa kuelewa kwamba kinachotumaliza Tanzania ni culture ya rushwa ambayo inaanzia juu mpaka chini.

Vita sahihi juu ya rushwa lazima iendane na jamii nzima kubadili hii culture ambayo inahalalisha rushwa kuanzia chini mpaka juu.
Kumbuka hawa viongozi wa sasa ni wale ambao miaka ya 80 na 90 waliona rushwa na uwizi mdogo mdogo kuanzia mashuleni mpaka makazini ni sawa. Wakajenga tabia ya kuhalalisha matanuzi kwenye umaskini na sasa kinachobadilika ni amount tu.

Anachosema Makamba sio solution ya rushwa kwa asilimia 100 ila ni silaha moja katika silaha nyingi zinazotakiwa katika kupambana na rushwa.

Suala la rushwa kwa TZ ni kubwa kuliko itikadi za vyama maana kila sehemu unakuta rushwa katika culture zetu. Itakapofika mahali kila mtu akajiangalia yeye mwenyewe na kusema hataki kuwa kuwadi wa rushwa kuanzia ndogo mpaka kubwa ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa rushwa TZ.
 
Huu ni upotoshaji,
rushwa zote ni mbaya. Clinical officer wa leo ndio waziri wa afya wa kesho. Akishajenga tabia ya rushwa, hawezi kuacha akiwa ofisi ya juu, kitakachobadilika ni amount tu. Kupiga rushwa kubwa vita wakati tunakumbatia rushwa ndogo ni sawa na kujaza maji kwenye gunia...
You're perfectly right Marcopolo, rushwa ni rushwa tu. Kinachonitatiza ni kwamba pamoja na kuwa hawa wadogo wanaodaiwa kuhusika na rushwa wamekuwa wanakamatwa kila siku, (Which is right though) wahusika wa rushwa kubwa inakuwa ngumu sana kuguswa hata panapokuwa na ushahidi wa dhahiri kama ilivyo kwenye rushwa ya pesa ya ununuzi wa rada.

Pamoja na waingereza kuhangaika na kutupatia ushahidi wote unaohitajika kuwafikisha wahusika kwenye haki, rais ambaye ndiye kiongozi mkuu wa nchi amesema hakuna mashtaka kwa kuwa ushahidi hautoshelezi. Unafikiri hii ni njia sahihi ya kupambana na rushwa? Kwa nini nisihisi kwamba hawa wadogo wanaonewa?
 
Mushi, tuwe wakweli, Watanzania wangapi wanaweza ku secure international loan?, wangapi wanajua "bond" bussiness?, wangapi wanaweza kuwekeza "wall street? etc?. This is a good move na kama ni kweli, Chadema itachukua 2015, then 2020 ni January type watairudisha madarakani na itatawala milele!.
Pasco
Mkuu yaani hii post yako ingekuwa jukwaa la Jokes ningecheka sana kwamba you have a sense of humour, lakini sababu ipo hapa nasikitika kuona kwamba upo serious..!!!

Hivi kuweza kwake ku-secure loans kumewasaidia vipi wananchi wake (au ndio zile zile za kuomba misaada kwa gia ya wananchi kumbe unajali tumbo lako) ?

Hivi kuwekeza wall street kunatusaidiaje sisi watanzania ?, kama ni mwekezaje si awasaidie hata wananchi wake kuanzisha miradi ya kuuza nyanya na vitunguu ?

All in all kama ni a good business man maybe yupo kwenye a wrong sector aachane na siasa na kuendelea na biashara uwezo wake wa kibiashara hausaidii chochote tunachotaka ni mtu mkweli, transparent na mchapa kazi.., hizo za uwezo wa kuwekeza wall street sidhani kama fisadi yoyote mtanzania au hata wewe ukichukua savings zako unashindwa kufanya hivyo (I cant believe yaani tumemaliza sifa za kujipa hadi tunaanza kuongelea mambo yasiyo na tija) tusipoangalia tutaanza kuongelea ni watanzania wangapi wanaweza kuvaa armani suits (na kusema hii ni positive katika character ya mtu)
 
Last edited by a moderator:
Mafisadi wana pesa nyingi sana za kutosha kusafishwa hata na CNN nani asiyejuwa?

Eti anapinga ufisadi, kwa kupitia chama gani? CCM? Lini na wapi? Hizi porojo tu na wananchi wa kawaida sidhani kama they care about this, they know the truth, and so nashangazwa na merit ya habari hii pamoja na malengo yake either mwandishi,ama January ama maybe both wana agenda moja mbaya.

Eti atapinga ufisadi kwa text, upuuzi mwingine bana unaudhi sana. Mmeshindwa kuondoa mafisadi kwenye chama na serikali sasa mnadanganya wananchi wa text kuhusu rushwa ndogo ndogo. Mfano unatakiwa uanzie juu! Wajibisheni mafisadi kama wananchi hawatafuata mfano na kusema kweli nikimripoti hatua itachukuliwa.

Mnaniudhi sana ndugu Makamba kwa kutona kama sisi wajinga kiasi hiki!

I got you bro...
 
'... In 2009, President Kikwete introduced him to Barack Obama, who was much taken by his dynamism, observing that he was the sort of politician likely to help transform the fortunes of the continent.

Makamba is an interesting combination of old and new Africa. He attended university in the US, but explains that, although he is the son of a teacher, politician and public servant, it was the time spent in Tanzania's rural areas as a child that most influenced his development. "The most rewarding experience was living with my grandmother. The daily routine was testing – I'd wake at 5am, walk 8km to school, come home at 3pm and go out to herd goats." This gave him, he feels, the "empathy needed for good decision-making".

It was empathy that turned him into a politician when, in his gap year, he was manager of Mtabila refugee camp, overseeing 120,000 Burundi refugees. "Witnessing that misery made me political." It made him "philosophical". But Makamba has emerged as a politician who does more than philosophise. He is an innovator with formidable drive. He is determined to unshackle his country from reliance on aid. He set up Bumbuli Development Corporation to borrow $10m from Wall Street philanthropists, invested in bonds with dividends to be spent in his constituency. "We decided not to find an NGO to help us but start our own – and not make it a charity. We have had a flurry of NGOs with little impact. This corporation would be a driver for development and private enterprise.

It would be a social business with huge potential." The corporation money is already funding community projects. He gives an example: "Fifty per cent of our fruit and vegetables used to be spoiled before going to market." Now, a "new aggregation centre" is putting this right.

.... "Only 6.9% of corruption cases are currently reported. We want to solve the problem. Almost everyone in Tanzania has a mobile." He sets the scene: "At a hospital you are asked for a bribe. You have a USP code, you enter the location and details of the bribe and send it to a web platform: it will appear as a dot on a map so everyone can see that at a certain hospital a bribe was asked for."'

JANUARY who? MAKAMBA? JANUARY, for your information, was the top most errand boy of the now infamous WANAMTANDAO. THEY worked hard day and night successfully embellishing incompetent 'fake messiah' KIKWETE that HE KIKWETE was the real saviour for TZ. THEY mollycoddled him and THEIR effort paid dividends to them at the expence of WATZ as it culminated into the election of their man to the TZ Presidency. All this was accomplished because they worked in dark, as few knew the corruption and the shakers and movers in crocodile smiles behind JK's second bid to flag-bear CCM for the TZ Presidency. No wonder, therefore, now it is the turn of JK to 'annoint' another fake messiah JANUARY by, you know, things such as introducing him to OBAMA, AND othe blah2s...

Again cheating us, no my dear! No, you cannot. "You can fool some people sometimes. But, you cannot fool all the people all the time." You fooled us, but now we know that you were a club of corrupt individual who were seeking to blood-suck us and regurgitate on our hands.


So again you want to present yourself and your proteges as GOOD PEOPLEOOO who abhor corruption? Eee! Naming and shaming corrupt individuals! From the article, my considered conclusion is that you are targeting the small fish, per WARIOBA, J the petty corrupt. Anyway, JANUARY you have to surrender your list of shame first, before we come in to disclose those whom we know. ME I start with you, and that scandle that made MR II vie for the MBeya Parliamentary seat: remember?
 
Hana lolote ye si ndo alikua mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ilovunjwa kwa tuhuma za rushwa,atasalimikaje wakati rushwa ziliombwa chini ya uenyekiti wake?
 
jmushi1

Mkuu, hapa ndipo mimi ninapotofautiana na baadhi yetu humu! Tunapaswa tuwe na genuine appreciation kwenye every good deed someone does, na kiukweli, this guy ni briliant na upstairs yuko fit sana!.

Niliwahi kusafiri nae same flight na baada ya hapo nikapanda lift yake na ndipo nilipokuja kumfahamu vizuri, kiukweli, he should have not supposed to be CCM kwa sababu anaelewa fika how CCM stink with rushwa, huyu alipaswa kabisa kuwa kwenye opposition, tatizo lake he is too genuine, anaijua vizuri Tanga, anawajua vizuri watu wa Tanga, ameamua kubaki CCM just not to waste the opportunities, ili watu wa type hii, 'young, vibrant reformists, wakiishika CCM vilivyo, nawahakikishia 2015, ikulu tutaishia kuisikia kwenye bomba tuu!. Thank God CCM is rot toka kwenye mizizi, anachotaka kufanya ni kukata tuu matawi ya rushwa kule kwenye ncha kwa kuibua hivi vijirushwa vidogo vodogo vya kiasi cha mboga, huku mashina na mizizi yenye grand corruption are untouchable na huu ndio mtaji mkubwa wa kifo cha CCM!.

Mushi, tuwe wakweli, Watanzania wangapi wanaweza ku secure international loan?, wangapi wanajua "bond" bussiness?, wangapi wanaweza kuwekeza "wall street? etc?. This is a good move na kama ni kweli, Chadema itachukua 2015, then 2020 ni January type watairudisha madarakani na itatawala milele!.


Pasco you as an educated chap you need to analyse issues in the style that matches your level short of that education remains irrelevant. Much of the contributions here are based in the so called story extracted from the Guardian. That's all. But your contribution adds more input as you happend to fly with him and enjoyed a lift with him. Nafikiri those are two occasions au one occasion-your presentation here in no realistic maana you have failed categorically to explain whether that during those occasions you had well crafted questions that were briliantly answered, or you held discussion discussion with him from which tangible issues were revealed. Even if all that was done it remains fake and fisy praise because one swallow does not make summer. So your praise is unbalanced the same as the story because through what is depicted by both does not qualify him to be corruption fighting champion and if doing that little in his home area makes him to stand such praise then then fighting corruption is meangless
 
Rushwa inayomuumiza mtanzania si hii inayoombwa na clinical officers au nurses kwenye vituo vyetu vya afya. Ni ile inayotolewa na multinationals kwa viongozi wetu kama vile tunavyosikia kuwa wamewekewa billions huko Uswisi, na kama vile Barrick walivyompa Makamba huyuhuyu billions kuwasaliti watanzania wenzake wa Nyamongo.

Hii habari umeitoa wapi?ninyi ndiyo mnageuza jf kama kijiwe cha kahawa.
 
Corruption name and shame? ... I am eager to see the difference it will bring. With weak PCCB and other legal institutions, DPP oiffice included, i dont think that naming and shaming only will yield anything tangible in war against corruption
 
The daily routine was testing – I'd wake at 5am, walk 8km to school, come home at 3pm and go out to herd goats." This gave him, he feels, the "empathy needed for good decision-making".

nilikuwa natafakari mstari huo...

Hata mimi nimejaribu kufanya analogue ya hio sentensi mpaka nikachoka...
 
Back
Top Bottom