MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

MATOKEO kutoka vituo mbalimbali, Arumeru Mashariki

Status
Not open for further replies.
Furaha ya CDM itaishia ndani ya mtungi, hapa ninawaona magamba wamepause akina Sioi na kikosi kamili hawana wasiwasi kamavle anasuburi kuapishwa.

Inaaaminika kikosi kazi kimepelekwa baadhi ya vijiji kudhibiti hali, CDM subirini tiktaka ya kweli.
 
Furaha ya CDM itaishia ndani ya mtungi, hapa ninawaona magamba wamepause akina Sioi na kikosi kamili hawana wasiwasi kamavle anasuburi kuapishwa.

Inaaaminika kikosi kazi kimepelekwa baadhi ya vijiji kudhibiti hali, CDM subirini tiktaka ya kweli.


ccm makao makuu wameshakubali kuwa wamepoteza jimbo.........
 
mwanakijiji anasema:


Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.

Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.

welawela CHADEMA!
 
hivi wewe na akili zako unapenda CCM usawa huu?

masaburi yako.

tushinde tushindwe, WE DONT WANT CCM in capital letters



ni wewe na ndg zako . alafu acha kunywa mbege usiku zinakuaribu uwezo wa kufikiri,
 
Mungu uliyena uwezo kuliko kiumbe chochote naomba mkono wako wa nguvu uendelee kuvunja mbinu zote chafu ambazo ccm wanajaribu kujipatia kura chafu .Wewe ndiye muweza na wana Arumeru wamechaamua mabadiliko ya kuiondoa ccm ktk uwakilishi bungeni timiza furaha ya wanachadema na watanzania wote wanaochukia utawala mfu wa magamba
 
Kama computer ndo zinatumika kuhesabu kura basi CDM wawe makini sana, i know well what is happening kwenye hizo computer through hiyo Results Management System

Mkuu kwani chadema hawana computer specialist wao???
 
Wakuu, hadi kufikia sasa kura zilizohesabiwa ni sehemu gani ya kura zote zinazotarajiwa kuwa zimepigwa??
 
hivi kuna picha hapo? nimeomba jumla, not a picture!!!!!!!!!!! kama hutaki potezea

kwani wewe jumla hujaiona hapo au unataka jumla gani maana idadi unayotaka iko apo inamaana huoni?
 
Kwa aina ya kampeni zilizopigwa na Mzee S. Wassira (Tyson), Livingston Lusinde na hata BM, nafikiri Wananchi wa Arumeru wana kila sababu ya kuwaambia kwamba hawakufurahishwa na hayo matusi yao
 
mwanakijiji anasema:


Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.

Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.

Weka hiyo link ya mwanakiji nawengine tuisome maana leo siyo siku nzuri sana.
 
Mungu saidia CDM na timu nzima iliyopo ARUMERU, Mbinu zote za CCM za uchakachuaji zishindwe katika jina la yesu....
 
Hakuna kuchakachua leo. Vijana nimeona wanatoka MJINI kwenda kulinda haki ya mTz kwa malori na miguu.
 
wakuu kama chaguzi za tanzania ndio hivi ccm itatawala milele'arumeru viongozi wote wa kitaifa chadema wapo pale lakini bado ni ngumu je kwa nchi nzima itakuwaje?? Mimi naona tanzania tusitegemee free fredom
 
mwanakijiji anasema:


Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.

Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.


huwa nakuamini sana hata ya igunga ulisema ukweli na mwishowe matokeo yakawa hivyo. thanks
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom