marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,634
- 3,660
katika topic nying ambazo nimekuwa nikisoma nikukuta wanawake wengi wakilalamika kuwa hawafikishwi kileleni nawapenzi wao wengne wamekuwa hata hawajui kufika kileleni kuko vipi..je unadhani wanaume tunahitaji darasa huru la kuwahandle hawa gf zetu?
Majority siku hizi wanajua kufake 'kilele'