Recent content by Idimi

  1. Idimi

    Anthony Mavunde: Watu 34 wamehodhi eneo lenye ukubwa mara 12 ya Dar es Salaam

    :D :D :D :D mikopo chechefu dnio ikoje?
  2. Idimi

    Serikali iitishe kura ya maoni Wazanzibari waamue upya kama wanautaka muungano ili isionekane tunawalazimisha

    Comoro na Madagascar ni visiwa huru, kuna maendeleo yoyote ya maana?
  3. Idimi

    Serikali iitishe kura ya maoni Wazanzibari waamue upya kama wanautaka muungano ili isionekane tunawalazimisha

    Over their dead bodies. Chama tawala hawako tayari kabisa kukubaliana na hoja hii. Kama wanaiba matokeo ya kura toka 1995, uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, unadhani watakubali hio kura?
  4. Idimi

    Historia ya Wanyakyusa kufahamika zaidi kuliko Wasafwa ambao ni wazawa halisi wa Jiji la Mbeya

    Asante mleta mada kwa hoja zako nzuri sana, ila kuna masuala kadhaa ningependa kuyaweka sawa ama kuyafafanua katika kunogesha mjadala. Wasafwa ni moja ya makabila machache ambayo yali resist ukoloni (kutawaliwa na wageni wa kizungu) kwa nguvu zote. Kumbuka ukoloni uliambatana na ujo wa elimi...
  5. Idimi

    Historia ya Wanyakyusa kufahamika zaidi kuliko Wasafwa ambao ni wazawa halisi wa Jiji la Mbeya

    Mijadala haikwepeki ndugu. Angalia mgawanyo wa wilaya, zimegawika kimakabila
  6. Idimi

    CCM Mkoa wa Rukwa mmeshindwa kutetea Wananchi wenu subirini hasira zao Oktoba 2024/25

    Hatimaye kelele za wananchi zimesaidia, Kuanzia leo tarehe 17/04/2024 wameruhusu kituo cha mjini kufanya kazi. Kwa hio kwa sasa kituo cha Sokomatola kinafanya kazi
  7. Idimi

    Malengo ya Mbio za Mwenge yabadilishwa, Sasa hivi wanauzungusha tu na kufanya Matamasha

    Humtendei haki. Yeye anawaza 2025 hapo alipo, kwa hio kila anachofanya kwa sasa kinalenga kujiwekea mazingira kunako 2025.
  8. Idimi

    Mkosoaji wa Serikali ‘aliyetekwa’ siku 5 zilizopita Mbeya apatikana Igunga

    Atasema. Mbona Mdude alitekwa, akataeswa na akaachiwa na bado anasema mpaka leo?
  9. Idimi

    Malengo ya Mbio za Mwenge yabadilishwa, Sasa hivi wanauzungusha tu na kufanya Matamasha

    Binafsi sijawahi kuona manufaa ya mwenge. Mnisamehe bure
  10. Idimi

    Netanyahu asitisha mpango wa kulipiza kisasi kwa Iran baada ya kukosa sapoti ya Marekani

    Na hii ndio weakness yao kubwa. Biden jana kamwambia Netanyahu asipigane na Iran kwa sababu madhara yake ni makubwa, naona Netanyahu bado kakaza shingo!
  11. Idimi

    Netanyahu asitisha mpango wa kulipiza kisasi kwa Iran baada ya kukosa sapoti ya Marekani

    Lakini Iran hawaja relax, wanalijua hili toka Hamas wavamie Israel. Subiri usikilizie
  12. Idimi

    Netanyahu asitisha mpango wa kulipiza kisasi kwa Iran baada ya kukosa sapoti ya Marekani

    Sio kwamba USA inamuogopa Iran, ishu ni kwamba Iran hawako peke yao kwenye huu mtiti iwapo unatokea. Urusi watakuwemo, North Korea na Waarabu nao wamo. Inawezekana ikawa ndio vita ya tatu ya dunia. Kama Ukraine kasaidiwa na bado anapumulia mashine, je Marekni wataweza kuendesha vita mbili kubwa...
  13. Idimi

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Pamoja sana ndugu. Nimengalia hapo juu, hii thread ina views milioni 3
Back
Top Bottom