Tafuta video ya Lissu kule mjini youtube akiongelea maridhiano, kwamba walikaa na CCM na kufikia mwafaka mzuri wa namna ya kuridhiana. CHADEMA wakaandika yale makubaliano, wakawapa CCM waridhie na kusaini yale makubaliano, wakati Kinana akiwa Katibu Mkuu, CCM hawakuwahi kujibu yale maandishi...
Nami sijamwelewa Pascal. BBC wameweka wazi kwamba waliomba ushirikiano kwa serikali kwa ajili ya ku balance habari yao, serikali haikuwapa ushirikiano wowote, wakatoa walichokusanya wao, ndicho tulichotangaziwa. Sasa hizi counter arguments za Pascal na Msigwa ilitakiwa zingepelekwa BBC wakati...
Hebu usikilize huu kma ni wenyewe. Ni wimbo wa Hamza Kalala na Bantu Group unaitwa Flora. Kama sio tuambizane tuendelee kuusaka. Kwa nilivyousikia mashairi ni hayo hayo ya Seronera na Mikumi mbugani
Sahihi kabisa. Mbogambga wana maneno matamu sana mdomoni, ila uyekelezaji ni 0%. Rejea maneno ya Tundu Lissu kuhusu makubaliano ya huku bata walipokaa na akina Abdulrahmani Kinana, mdomoni waliongea mambo ya maana, lakini walipolekewa maandishi ili hayo maneno yawe kimaandishi CCM waligoma...
Nina router ya hawa wanaobadili jina kila leo, wapo pale Gerezani Kariakoo. Sijakutana na shida ya kukatiwa speed, na kila weekend na stream mechi zote na kwa sasa mechi za kombe la dunia naangalia kwa bundle lao. Wao wanauza 10 MBPS kwa 70,000/- kwa mwezi. Inawezekana sijawahi kumaliza quota...
Upo sahihi, unlimited haimaanishi kwamba unatiririka tu bila kikomo, ni kwamba ukimaliza zile GB walizokupangia (ceiling/quota) wanashusha speed ya mtandao. Mbaya zaidi hizo GB ulizopangiwa kwa mwezi huwa hawakuambii ni kiasi gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.