Tajiri gani mwehu anakula KFC? Huko ni kwa vijana malimbukeni tu. Yaani tajiri aache kula kuku original Golden Tulip akale broiler KFC? Serious kabisa?
Mbona mnahangaika sana na chama mfu? (kwa mujibu wenu)
Kama kweli kimekufa kwa nini kinawakosesha usingizi kiasi hicho? Mmewawekea zuio mahakamani, mnataka wagawane mali kwa kesi za mchongo, mnawaua wanachama na wafuasi wao, mmemfunga mwenyekiti wao, lkn bado hamna amani mioyoni mwenu. Nani...
Wataonekana dhaifu (ingawa ni wadhaifu kweli). Hawataki kukubali kwamba wanaweza kupigwa, ndio maana wamedhibiti sana utoakaji wa habari kutoka nchini kwao
Habib Mchange ndio anaepanga maujinga yote haya. Ndie ia anaepanga yale maandamano ya Wakatoliki wa kuchovya. Hayabypte yapo wazi kwenye social media. Anzia youtube umsikilize, ndio mpangaji wa ujinga wote huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.