Recent content by Idimi

  1. Idimi

    JamiiForums Tanzania Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja

    😃😃😃😃😃 unafiki wa kiwango cha lami
  2. Idimi

    JamiiForums Tanzania Wanzanzibar amueni moja, ama acheni kelele za muungano!, ama pigeni Kura ya Maoni, muamue moja

    Kaka Pascal, mapinduzi ya kuwapora watu ushindi yanaitwaje matukufu?
  3. Idimi

    JamiiForums Tanzania Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

    Ni za kutosh TU
  4. Idimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii kasi ya ndoa za sogea tuishi imekuwa kubwa sana, kwanini watu hawafungi ndoa rasmi?

    Hakika kabisa ndg.
  5. Idimi

    JamiiForums Tanzania Mshangao; KFC ni kwa ajili ya masikini nchi zilizoendelea ila Africa ni kwa ajili ya matajiri!

    Tajiri gani mwehu anakula KFC? Huko ni kwa vijana malimbukeni tu. Yaani tajiri aache kula kuku original Golden Tulip akale broiler KFC? Serious kabisa?
  6. Idimi

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ikifufuka tena ndani ya hii miaka 10 kuanzia 2025- 2035 nitagawa kila ninachomiliki kwa wenye uhitaji na nitaacha kazi

    Mbona mnahangaika sana na chama mfu? (kwa mujibu wenu) Kama kweli kimekufa kwa nini kinawakosesha usingizi kiasi hicho? Mmewawekea zuio mahakamani, mnataka wagawane mali kwa kesi za mchongo, mnawaua wanachama na wafuasi wao, mmemfunga mwenyekiti wao, lkn bado hamna amani mioyoni mwenu. Nani...
  7. Idimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii kasi ya ndoa za sogea tuishi imekuwa kubwa sana, kwanini watu hawafungi ndoa rasmi?

    Hasa ukikosea kuchagua mwenza wako 😆😆😆
  8. Idimi

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CCM wameanza kuchukua pikipiki zao

    Kwani hawakuwa na orodha ya waliogawiwa kwa ngazi za serikali za mitaa? Ingekuwa rahisi kuwapata kwa mfumo huo
  9. Idimi

    JamiiForums Tanzania Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Unataka nitekwe chief? :BatChesting:
  10. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ssebo hakujenga nyumba Dar?

    Nakuelewa mkuu. Ni kweli, ni mpaka uwe msikilizaji ama mtazamaji wa hizo media kumfahamu jamaa
  11. Idimi

    JamiiForums Tanzania Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Nani wa kumshauri? Nchi yao inaendeshwa na Neta-pusi
  12. Idimi

    JamiiForums Tanzania Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Wataonekana dhaifu (ingawa ni wadhaifu kweli). Hawataki kukubali kwamba wanaweza kupigwa, ndio maana wamedhibiti sana utoakaji wa habari kutoka nchini kwao
  13. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ssebo hakujenga nyumba Dar?

    Alikuwa mtangazaji wa EATV, then akahamia EFM/TVE kwa MAJIZZO
Back
Top Bottom