Recent content by Idimi

  1. Idimi

    Mshangao; KFC ni kwa ajili ya masikini nchi zilizoendelea ila Africa ni kwa ajili ya matajiri!

    Tajiri gani mwehu anakula KFC? Huko ni kwa vijana malimbukeni tu. Yaani tajiri aache kula kuku original Golden Tulip akale broiler KFC? Serious kabisa?
  2. Idimi

    CHADEMA ikifufuka tena ndani ya hii miaka 10 kuanzia 2025- 2035 nitagawa kila ninachomiliki kwa wenye uhitaji na nitaacha kazi

    Mbona mnahangaika sana na chama mfu? (kwa mujibu wenu) Kama kweli kimekufa kwa nini kinawakosesha usingizi kiasi hicho? Mmewawekea zuio mahakamani, mnataka wagawane mali kwa kesi za mchongo, mnawaua wanachama na wafuasi wao, mmemfunga mwenyekiti wao, lkn bado hamna amani mioyoni mwenu. Nani...
  3. Idimi

    Tetesi: CCM wameanza kuchukua pikipiki zao

    Kwani hawakuwa na orodha ya waliogawiwa kwa ngazi za serikali za mitaa? Ingekuwa rahisi kuwapata kwa mfumo huo
  4. Idimi

    Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Unataka nitekwe chief? :BatChesting:
  5. Idimi

    Ssebo hakujenga nyumba Dar?

    Nakuelewa mkuu. Ni kweli, ni mpaka uwe msikilizaji ama mtazamaji wa hizo media kumfahamu jamaa
  6. Idimi

    Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Nani wa kumshauri? Nchi yao inaendeshwa na Neta-pusi
  7. Idimi

    Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Wataonekana dhaifu (ingawa ni wadhaifu kweli). Hawataki kukubali kwamba wanaweza kupigwa, ndio maana wamedhibiti sana utoakaji wa habari kutoka nchini kwao
  8. Idimi

    Ssebo hakujenga nyumba Dar?

    Alikuwa mtangazaji wa EATV, then akahamia EFM/TVE kwa MAJIZZO
  9. Idimi

    Ni nani yuko nyuma ya huu ujinga!?

    Habib Mchange ndio anaepanga maujinga yote haya. Ndie ia anaepanga yale maandamano ya Wakatoliki wa kuchovya. Hayabypte yapo wazi kwenye social media. Anzia youtube umsikilize, ndio mpangaji wa ujinga wote huu
Back
Top Bottom