Over their dead bodies.
Chama tawala hawako tayari kabisa kukubaliana na hoja hii. Kama wanaiba matokeo ya kura toka 1995, uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, unadhani watakubali hio kura?
Asante mleta mada kwa hoja zako nzuri sana, ila kuna masuala kadhaa ningependa kuyaweka sawa ama kuyafafanua katika kunogesha mjadala.
Wasafwa ni moja ya makabila machache ambayo yali resist ukoloni (kutawaliwa na wageni wa kizungu) kwa nguvu zote. Kumbuka ukoloni uliambatana na ujo wa elimi...
Hatimaye kelele za wananchi zimesaidia, Kuanzia leo tarehe 17/04/2024 wameruhusu kituo cha mjini kufanya kazi. Kwa hio kwa sasa kituo cha Sokomatola kinafanya kazi
Na hii ndio weakness yao kubwa. Biden jana kamwambia Netanyahu asipigane na Iran kwa sababu madhara yake ni makubwa, naona Netanyahu bado kakaza shingo!
Sio kwamba USA inamuogopa Iran, ishu ni kwamba Iran hawako peke yao kwenye huu mtiti iwapo unatokea. Urusi watakuwemo, North Korea na Waarabu nao wamo. Inawezekana ikawa ndio vita ya tatu ya dunia. Kama Ukraine kasaidiwa na bado anapumulia mashine, je Marekni wataweza kuendesha vita mbili kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.