Kwa kuwa ulikuwa unasaka ajira kwenye utumishi wa umma, jeans na tshirt sio mavazi rasmi. Jinsi ulivyotokea siku ya usaili ndivyo watu wanavyokuona ulivyo, kama uko nadhifu utaonekana nadhifu, kama uko shamble basi utaonekana hivyo hivyo. Waliokuzuia walikuwa sahihi kwa 100%.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.