Recent content by Idimi

  1. Idimi

    JamiiForums Tanzania Mbowe aliachiwa huru ndio maridhiano yakafanyika. Kwanini kwa Lissu wanalazimisha maridhiano ndio aachiwe?

    Tafuta video ya Lissu kule mjini youtube akiongelea maridhiano, kwamba walikaa na CCM na kufikia mwafaka mzuri wa namna ya kuridhiana. CHADEMA wakaandika yale makubaliano, wakawapa CCM waridhie na kusaini yale makubaliano, wakati Kinana akiwa Katibu Mkuu, CCM hawakuwahi kujibu yale maandishi...
  2. Idimi

    JamiiForums Tanzania Pongezi Serikali Yetu Kutonyamazia Upotoshaji wa Media za Mabeberu Kutubagaza, Let's Be Proactive Rather Than Reactive, Tuwaambie Ukweli Wote!.

    Nami sijamwelewa Pascal. BBC wameweka wazi kwamba waliomba ushirikiano kwa serikali kwa ajili ya ku balance habari yao, serikali haikuwapa ushirikiano wowote, wakatoa walichokusanya wao, ndicho tulichotangaziwa. Sasa hizi counter arguments za Pascal na Msigwa ilitakiwa zingepelekwa BBC wakati...
  3. Idimi

    JamiiForums Tanzania IMF yaipatia Tanzania Dola Milioni 443.9 baada ya kukamilisha Tathimini ya Mwisho

    Mkopo juu ya mkopo. Dah.
  4. Idimi

    JamiiForums Tanzania Waislamu kuna mada yenu hapa.Kwa nini mnapenda kukimbilia nchi ambazo sio dini yenu.

    Bahati mbaya wanataka wapeleke sharia wasizozipenda kwenye nchi ambazo hazina mfumo wa sharia. I am sorry to say hawa jamaa huwa hawajielewi.
  5. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Baadhi hizi hapa. Enjoy
  6. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Sikiliza huu wimbo. Kuna hayo maneno, ana ngoma ana ngoma
  7. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Hebu usikilize huu kma ni wenyewe. Ni wimbo wa Hamza Kalala na Bantu Group unaitwa Flora. Kama sio tuambizane tuendelee kuusaka. Kwa nilivyousikia mashairi ni hayo hayo ya Seronera na Mikumi mbugani
  8. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Huu hapa best. Naona umeulili sana. Wimbio unaitwa Penzi kizungumkuti
  9. Idimi

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka amshauri Rais Samia amwachie huru Tundu Lissu

    Kikatiba iko hivyo, lakini kiuhalisia hali ikoje? Viongozi wa chama tawala hawaingilii mihimili mingine?
  10. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Huu hapa. Enjoy
  11. Idimi

    JamiiForums Tanzania Mambo 7 Yaliyokubaliwa Katika Maridhiano ya Zanzibar

    Sahihi kabisa. Mbogambga wana maneno matamu sana mdomoni, ila uyekelezaji ni 0%. Rejea maneno ya Tundu Lissu kuhusu makubaliano ya huku bata walipokaa na akina Abdulrahmani Kinana, mdomoni waliongea mambo ya maana, lakini walipolekewa maandishi ili hayo maneno yawe kimaandishi CCM waligoma...
  12. Idimi

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Huu ndo uhuni unaofanywa na mitandao ya simu inayouza router za unlimited

    Nina router ya hawa wanaobadili jina kila leo, wapo pale Gerezani Kariakoo. Sijakutana na shida ya kukatiwa speed, na kila weekend na stream mechi zote na kwa sasa mechi za kombe la dunia naangalia kwa bundle lao. Wao wanauza 10 MBPS kwa 70,000/- kwa mwezi. Inawezekana sijawahi kumaliza quota...
  13. Idimi

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Huu ndo uhuni unaofanywa na mitandao ya simu inayouza router za unlimited

    Upo sahihi, unlimited haimaanishi kwamba unatiririka tu bila kikomo, ni kwamba ukimaliza zile GB walizokupangia (ceiling/quota) wanashusha speed ya mtandao. Mbaya zaidi hizo GB ulizopangiwa kwa mwezi huwa hawakuambii ni kiasi gani.
  14. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nimekupata mdau. Hebu usikilize huu nilio attach hapa, kama ni wenyewe. Kama sio tuendelee kuusaka
Back
Top Bottom