Hujataka kujihangaisha ndugu, vipo vingi sana mitaani. Mfano, ukipita barabara ya Tandale Uzuri, kuna wanaouza bidhaa hizo used, Kariakoo pale Gerezani kwa watengeneza majiko hakuna kitu utakosa, Kitunda relini kuna jamaa wana kila hardaware unayotaka kama vile masinki ya kunawia, mabati...