Recent content by Idimi

  1. Idimi

    JamiiForums Tanzania Trump: Tunaendelea na Mazungumzo mazuri na Iran

    Hii hapa https://www.youtube.com/watch?v=ti4Ai0IQfio
  2. Idimi

    JamiiForums Tanzania Hivi wazungu huko kwao kuna supu ya utumbo?!

    🤣 🤣 🤣 umesomeka mdau
  3. Idimi

    JamiiForums Tanzania Trump: Tunaendelea na Mazungumzo mazuri na Iran

    😆😆😆🤣🤣 Iran walijiandaa kwa vita ya muda mrefu kwa kutumia unconventional war methods (kuchosha mifumo ya ulinzi ya Marekani na Israel kwa kutumia drone). Hili USA haikulitarajia. Acha wapigane
  4. Idimi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni wapi kwingine walioshinda uchaguzi kwa 98% hufanya maridhiano??

    Kaka, kuna kitu kinaitwa dhamira ovu (ill intention), kama una hatia dhamira itakuhukumu sana mpaka unaenda kaburini. Kwenye biblia (Yonahe 8:4-11) kuna mwanamke alifikishwa mikononi mwa Yesu kwa sababu alizini, na adhabu yake kwa kujibu wa torati ni kupigwa mawe mpaka afe. Yesu aliwaambia wale...
  5. Idimi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni wapi kwingine walioshinda uchaguzi kwa 98% hufanya maridhiano??

    Kupita kiasi, yaani umeshinda 98% bado hujiamini! Sasa waliiba za nini hizo kura?
  6. Idimi

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa kumchosha na kumpotezea Muda Tundu Lisu utafanya kazi?

    Tumuombee sana atoke, maana kesi yake inatia aibu nchi.
  7. Idimi

    JamiiForums Tanzania Wakili Tundu Lisu ni mahiri wa kukariri na kuzieleza sheria mbele ya wasio jua sheria, lakini ni mnyonge mno mbele ya mahakama na wanao zijua sheria

    Yaani, nimekimbia mbio mbio kuja kusoma, nikajua ni mada muhimu kutoka kwa mwanasheria nguli, nakutana na huyu Muiraq MATAGA. Total cra.p
  8. Idimi

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa kumchosha na kumpotezea Muda Tundu Lisu utafanya kazi?

    Pigia msitari hapo
  9. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Pamoja sana ndg. Sharing is caring.
  10. Idimi

    JamiiForums Tanzania JLW:Gharama za Dates

    Pigia mstari hapo hapo
  11. Idimi

    JamiiForums Tanzania JLW:Gharama za Dates

    Obviously
  12. Idimi

    JamiiForums Tanzania Vifaa Used Vya Ujenzi Vinaendaga Wapi?

    Hujataka kujihangaisha ndugu, vipo vingi sana mitaani. Mfano, ukipita barabara ya Tandale Uzuri, kuna wanaouza bidhaa hizo used, Kariakoo pale Gerezani kwa watengeneza majiko hakuna kitu utakosa, Kitunda relini kuna jamaa wana kila hardaware unayotaka kama vile masinki ya kunawia, mabati...
  13. Idimi

    JamiiForums Tanzania CCM tunahitaji kufanya reforms kwenye chama. Siasa zimebadilika sio za miaka hiyo

    Hakika. Hawawezi kufanya uchaguzi wao kwa uwazi kwa waandishi wa habari kwa hata 30%, lazima figisu zipite. Wana uchaguzi mwakani, utaona mafekeche yalivyo. Habari kama hizi akina Tlaatlaa wanapita kama wanaaga maiti
  14. Idimi

    JamiiForums Tanzania Historia ya mkoa wa Tanga

    Nyongeza nyingine ni kwamba Tanga inapakana na mkoa wa Pwani upande wa kusini mashariki, i.e wilaya ya Bagamoyo. Wasegeju ni kabila dogo sana linalopatikana wilayani Mkinga.
  15. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Chadema huwachukia na kuwabagua wa Zanzibar?

    Mmefeli kumtoa Heche madarakani ili muweke mamluki, now mmeanza kuongelea ubaguzi. Waliokuwa kamati kuu ndio hao walikipeleka chama mahakamani kudai mgao wa mali za chama ilhali chama kiko hai, nani angependa kuwa na waasi wa namna hiyo? By the way ukija uchaguzi mwingine watawekwa.
Back
Top Bottom