Recent content by Idimi

  1. Idimi

    JamiiForums Tanzania Endapo atatubu, WanaCCM tumsaidie mwenyekiti wa chama rafiki CHADEMA afutiwe kesi yake inayoweza kufanya aende jela maisha

    Yeye kasema ahukumiwe kwa haki. Hataki huruma
  2. Idimi

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Same punishment be applied kwa wanawake masikini wanaojifanya wana standards
  3. Idimi

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anawaza kuvunja ndoa, lakini nyumba yake alijenga kwenye kiwanja cha wakwe, afanye nini?

    First things first. Alianzaje kujengwa ukweni?
  4. Idimi

    JamiiForums Tanzania Dalili za mwanaume maskini ni hizi

    Hili povu sio la nchi hii. Kama unajiweza kiuchumi kwa nini mwanaume akufungulie kampuni? Si ufungue mwenyewe?
  5. Idimi

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmannuel Nchimbi afukuzwa uanachama wa CCM

    It seems
  6. Idimi

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmannuel Nchimbi afukuzwa uanachama wa CCM

    Kuna shida kubwa sana mahali. Kuteuana is OK, lkn kukomesha kutekana NO.
  7. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ikigundulika Freeman Mbowe ndio yupo nyuma ya kesi zote na maovu yote dhidi ya CHADEMA itakuaje?

    Hakuamua kukaa pembeni, ni raia walimpumzisha kwa nguvu kupitia sanduku la kura.
  8. Idimi

    JamiiForums Tanzania Kutoka AI: Freeman Mbowe ulichokifanya leo hakiakisi utu, mshikamano wala hekima

    Kutoka jela mpaka Ikulu. Haishangazi kwamba kaibukia JNHPP
  9. Idimi

    JamiiForums Tanzania Je Bakwata wametoa wapi mamlaka ya kutangaza mapumziko ya kitaifa 25 August 2026

    Wana uchumi mzuri kuliko sisi, acha wapumzike. Sie tunatakiwa kupigika sana ili tuwasogelee
  10. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Au unamaanisha maisha ya uswazi? Maana sijawahi kusikia jina la huo wimbo!
  11. Idimi

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Kwa kuwa ulikuwa unasaka ajira kwenye utumishi wa umma, jeans na tshirt sio mavazi rasmi. Jinsi ulivyotokea siku ya usaili ndivyo watu wanavyokuona ulivyo, kama uko nadhifu utaonekana nadhifu, kama uko shamble basi utaonekana hivyo hivyo. Waliokuzuia walikuwa sahihi kwa 100%.
  12. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Jaribu kusikiliza huu kama ni wenyewe. Cc @Mwamba028
  13. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Safi sana kaka. Enjoy while it lasts
  14. Idimi

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Sikiliza hii, track, kama sio basi pole sana!
  15. Idimi

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Kulala mapema ni kwa sababu ya hali ya hewa (baridi kali nyakati za usiku).
Back
Top Bottom