Kama haipo ya utumbo na ya kongoro basi bora nibaki Afrika.
Supu ya utumbo, maharage na chapati 2 mchambuko na maharage ya kumimina aah wee
Ipo hata ukitaka supu ya churaKama haipo ya utumbo na ya kongoro basi bora nibaki Afrika.
Supu ya utumbo, maharage na chapati 2 mchambuko na maharage ya kumimina aah wee
Wanayo na hata ukitaka ya konokono,chura au hata nyau unapata hata iwe ya kasongo.Kama haipo ya utumbo na ya kongoro basi bora nibaki Afrika.
Supu ya utumbo, maharage na chapati 2 mchambuko na maharage ya kumimina aah wee
sijawah kuvila kwa mchanganyo hivyo vitumaharage na chapati ni vitu sivipendi ila nakula kwasababu ya njaa
hata usijaribu vinakera mnosijawah kuvila kwa mchanganyo hivyo vitu
siwezi kufuta, ni kwamba sivipendi ibaki hivyoMkuu fika kwa mama ntilie wa mnazimmoja Dar utafuta hii comment haq
Unyama sanaa kuishi africaBasi tu mkuu nimetoka zangu pilika nikaagiza hiyo kitu hapa bunju 'be' nikajikuta natiririsha sledi pendwa
🤣 🤣 🤣 umesomeka mdauBasi tu mkuu nimetoka zangu pilika nikaagiza hiyo kitu hapa bunju 'be' nikajikuta natiririsha sledi pendwa