Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,623
- 11,635
Nyongeza nyingine ni kwamba Tanga inapakana na mkoa wa Pwani upande wa kusini mashariki, i.e wilaya ya Bagamoyo. Wasegeju ni kabila dogo sana linalopatikana wilayani Mkinga.Sawa mkuu nitajitahidi kuwaongeza