Ila siku hizi channel zipo nyingi tu, na ving'amuzi vipo vingi tu. Ukiona VP uanachana tu na Azam, unaweza ikaangalia tu hata channel za king'amzi cha zuku
kumezuka wimbi kubwa sana la vijana kuanza kuishi kiunyumba kama mke na mume na kuendelea kuzaa watoto bila ya ndoa.
Je, unadhani ni sahihi?
Karibu toa maoni yako
hahahahaha usiogope dogo, mtoto wa nyoka hafundishwi kuuma. Ukiona hivyo ujuwe bado wakati wako haujafika, ondoa wasi wasi kabisa, piga mambo yako tu yakimaendeleo, wakati ukifika yaani mwenyewe utaweza dogo.
Hapana sio kweli dogo, mawazo yako tu. Mimi kuna ndugu yangu Anafanya kazi pale makao makuu na sio Muislamu, na ile nafasi alipata kwenye mwaka jana hivi, kitu kama hicho kama sikosei.................achana na maneo ya kuambiwa, wewe kama unavigezo stahiki apply halafu uone kama hawatakuita.
Naomba uniunganishe na huyo mtu kiongozi. Hata mimi pia ni Programmer with 4 years and above experience in Software Development industry, ila natamani sana kukutana na huyo mtu nahisi kuna mengi anaweza akanisaidia.
Nakukubali sana dogo kwa kujitambua ni nini unahitaji kufanya. Kiukweli ni hii hali ngumu tu ya maisha hapa Bongo ndio watu tunahangaika kutafuta kuajiriwa na kwenda kupewa vimishahara uchwara. Komaa dogo utatoka tu, kama kweli unafahamu na unaipenda Programming basi juwa kabisa utajiri...
Hahahah.......dogo unavituko wewe, ila sisi watu wazima tumesha kuelewa. Maana hako ka age range ambako upo huwa kanasumbua sana hako, ila ndio unakuwa dogo usiogope karibu ukubwani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.