Dr. Ruja alipotea na pesa ya wawekezaji mpaka leo dunia haijui yuko wapi.Hivi kuna wataalam wa One coin humu? naomba kufahamu hivi hii kitu iliishia wapi? maana nakumbuka ilikuja na moto wa ajabu
Dr Luja Ignatov alipotea na mabilion ya pesa mpaka leo hajulikani alipo na yukl kwenye fbi most wanted list.Hivi kuna wataalam wa One coin humu? naomba kufahamu hivi hii kitu iliishia wapi? maana nakumbuka ilikuja na moto wa ajabu