Nakuelewa sana na namuelewa sana Deejay nasmile. Inaelekea kuwa mwaka wa pili sasa tangu tumpoteze last born wetu ghafla kwa ajali. Mwanaume nimelia, kwa sauti na kwa kugugumia. Nimefanya maombi binafsi na kwa viongozi wa dini ili uchungu, hudhuni na makiwa viishe lakini wapi.
Pirika za maisha...
Mnatoka mbwinde huko na matatizo yenu mnakuja Dar kutafuta soko, hapa mnakutana na maluuni wenzenu wanawavuruga halafu mnajiita wanaume wa Dar #@%^^^*)(&^*^
Hahahaaaaa, there you are comrade. Baba mlezi yule.
Alikuwa anatokea mara chache kuja kupoza joto la purukushani za akina ndugu d, makali, kaswa, massele and co.
Gone are good days, only memories remain.
Comment ya hovyo ya siku ingawa tutaheshimu mawazo yako. Ndugu ushawahi kwenda kupima?au kuishi na mtu anaetumia arv? Au kuuguza mgonjwa kabisa? Naomba urudi tena kuja ku comment ukishapitia stage hizo?
Hongera sana mheshimiwa mbunge wetu Dr. Ndugulile kwa kuteuliwa kuwa naibu waziri. Naamini hii ni chachu nyingine kwako katika kuharakisha maendeleo ya jimbo letu. Tafadhali naomba kukukumbusha kero zetu wakazi wa mwasonga. Umeme. Upo kijijini ila transformer na usambazaji ndio issue. Wananchi...
Cha msingi sisi tushashinda tena goli 4, points 3 muhimu na clean sheet.
Hayo mengineyo yanawahusu ninyi na westham yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.