Ozil ni famous dunia nzima, ni model wa watu wengi sana duniani, watu wanaangalia anafanya nini, Turkey ilikua kwenye vuguvugu la uchaguzi na Erdogan ni mmoja wa wagombea, alafu unaenda kupiga picha na huyo mgombea, katika hali ya kawaida unadhani watu wataipokeaje?
Pili, Erdogan ni mhasama...