Wadau nina changamoto ya jinsi ya kupima mbolea ili niweze kuhakikisha ubora wake ie kujua kama imeharibika au la. Nahitaji kupima mbolea ya NPK na UREA.
Msaada please.
Wote ni wale wale CHADEMA wanapaswa wajipange na kuleta ushawishi kwa wenzao. Jana walikuwa wanataka JK arudi while wao ndio walituaminisha kuwa si kiongozi mzuri.
Hakuna haja subiri matokeo, mara nyingi selection ya chuo na kozi inategemeana na matokeo uliopata.
Otherwise matokeo yakiwa mabaya na haujachaguliwa ndo unaweza omba Access Course
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.