Abuu Sumaiyah
Member
- Oct 4, 2015
- 24
- 3
Nakushauri usihame mechanical kwa pale dit hiyo na civil ndio zinabamba nyingine zote utajuta kusoma.
Nimekusoma Mkuu Kuna Jamaa Angu Kamaliza Mech Eng Kanena Hvhv
Nakushauri usihame mechanical kwa pale dit hiyo na civil ndio zinabamba nyingine zote utajuta kusoma.
Nimekosa Hostel....wadau huwa mnapanga maeneo gani na kwa gharama gani??
Nimekosa Hostel....wadau huwa mnapanga maeneo gani na kwa gharama gani??
Chuo pekee chenye hostel kama shule za bweni
kaka umesema kweli ujue, hata me nilipakimbia hapo ujue nilikuwa nasoma telecommmunication engineering,nilianza na certificate nilijikaza nikamaliza fresh,diploma mmhh, nimechemsha nikaacha nikaenda kupiga course flan hiv ya biashara ilikuwa mwaka juzi 2013,,,,Me nilichoka Theory nying bila placticals,modules ndo usiseme yaani nilikuwa sielewi bro,
Hakuna haja subiri matokeo, mara nyingi selection ya chuo na kozi inategemeana na matokeo uliopata.hiv ukichagua chuo first selection kwenye selform za form four kuna haja ya kuapply tena
Nna phys B chem B Math A bios A vp naeza fanikiwa chuo moja kwa moja kwenye ile selformHakuna haja subiri matokeo, mara nyingi selection ya chuo na kozi inategemeana na matokeo uliopata.
Otherwise matokeo yakiwa mabaya na haujachaguliwa ndo unaweza omba Access Course
DIT wako vizuri Electrical Engineering, Civil Engineering, Mechanical Engineering,Labotory Science(sikumbuki wanaiitaje siku hizi) na Telecom.Hahahahah haya bhana subiri ukifika pale utaniambia .
Dept ya comp pale imeoza hamna kitu watu wanaenda basi tu we ukienda pale lazima uwe plan mbadala la sivyo utagraduate lazima utaona kama umepita tu.