Kidamva
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,578
- 1,984
Nimesikitishwa sana na jinsi uchaguzi wa EALA ulivyoendeshwa kiasi cha kuvikosesha vyama vyanye haki wabunge wa mujibu wa kanuni. Inaeleweka kwamba CHADEMA ndiyo chama kikuu cha wapinzani na kilikuwa na haki ya kupata nafasi 2, lakini wa figisu za wabunge wa CCM wamewanyima hizo nafasi.
Lengo lao ni kuwanyong'onyeza na kuvibeba vyama dhaifu. Bunge letu lenye wabunge wengi wa CCM limekuwa kikwazo kikubwa cha maendeleo ya nchi hii. Bunge halina maamuzi na linashindwa kuisimamia Serikali.
Ndio maana wabunge hawa waligombezwa na Rais kama watoto wadogo pale Dodoma.
Sasa tunakwenda kwenye Bunge la bajeti, hakuna kitakachofanyika.
Lengo lao ni kuwanyong'onyeza na kuvibeba vyama dhaifu. Bunge letu lenye wabunge wengi wa CCM limekuwa kikwazo kikubwa cha maendeleo ya nchi hii. Bunge halina maamuzi na linashindwa kuisimamia Serikali.
Ndio maana wabunge hawa waligombezwa na Rais kama watoto wadogo pale Dodoma.
Sasa tunakwenda kwenye Bunge la bajeti, hakuna kitakachofanyika.