Haki huinua taifa,bali dhambi ni aibu ya watu wote,kama haki haitaendelea kutendeka,na hapa simaanishi kwenye maswala ya siasa tu,hata tujitume namna gani,huko kujitegemea mnakokusema tutaishia kusikia redioni tu,i think its time sisi kama watanzania tu acknowledge kwamba kilicho fanyika...