Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

We are born to be leaders jamani...yaani inatokea automatically zoeeni tu..kama mambo ya msingi unapata hizo nyingine fumba macho..

Ningeweza kukupa like za kumwaga kwa Majibu yenye HEKIMA ya hali ya juu sana.
safi Madam T
 
Kuna makabila wanawake wa kinyakyusa huwaambiwa wasiolewe nayo, tatizo usipozingatia hilo ndo unaishia kuolewa na type hii inayotukana. wanawake wanyakyusa.

Mwanamke wa kinyakyusa ni dhahabu, jitihada zangu zote na bidii zangu zote sikupata Neema na bahati ya kupata mwanamke mnyakyusa.......NASIKITIKA SANA
 
Kuna makabila wanawake wa kinyakyusa huwaambiwa wasiolewe nayo, tatizo usipozingatia hilo ndo unaishia kuolewa na type hii inayotukana. wanawake wanyakyusa.

Mwanamke wa kinyakyusa ni dhahabu, jitihada zangu zote na bidii zangu zote sikupata Neema na bahati ya kupata mwanamke mnyakyusa.......NASIKITIKA SANA

Mungu ni mwema wala usisikitike sana ila Nyakyusa ni noumer
 
Wanyakyusa baadhi wana mishepu ya kuvuta tela (Wezere) sema sura ngumu mno
 
Mhhh! jaman kabila lina uhusiano gan na tabia ya mtu!? Isitoshe siku hizi watu wanaoana makabila tofauti tofauti kwahiyo wanazaliwa watu tofauti na makabila yao.... Msituponde sana wanyakyusa jamani tabia anabeba mtu sio kabila , shepu na sura ni majaaliwa ya mungu sio kabila
 
Tukuyu wanawake wanyenyekevu sana na wanavumilia kiasi kuwapo na maswahibu, wakifika mwanjelwa kila mmoja anajiona gwiji, baridi la tukuyu lilomfanya awe mweusi analihepa kwa kuji(white) na kuacha miguu. Kyela nao hawapishani ila wanapenda jionaga wao ndo wao... Sasa wote hawa ukalumanzila hawaoni taaabu kuuhusisha kwenye mambo yao na umala.ya upo kwa sana. Sijui ni ile baridi ya rungwe...

Kiujumla kusini vinatoka vyombo haswa na usiombe ukutane na wahehe utaoa kabisa ingawa mapungufu yapo
 
kwa ubishi hawa wanawake wa kinyaki usipime! Nasikia nao wana tabia ya kuua kama wachaga wafanyavo kwa mume akipata utajiri sina uhakika ila ukichunguza kwa umakini wanawake wengi wa kinyaki aged hawana wanaume na wana majumba mazuri au biashara kubwa!
 
Bhalipo pa Mbwani! miss strong nnuguna gwetu alena mahala fijo kangi muno mwa MMU akana nyambala;anaheshimu ndoa!Naloli kalumbu tulinagwe!Anatulindia heshima hapa!
Omenye bhakikuro muno bhingi fijo bhikobhomba sya soni?

hah hah mpaka raaaha
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom