utafiti na miss chagga wametisha
Ha ha ha kazi ipo my dady huyo na mama
Hongera sana. Ntakuja kukutembelea nikusalimie.
Wanapendana wenyewe
Hahaahhah enzi za ujana wetu hizo
Karibu,,,,, usiwe tu mrefu coz hendsamu wangu hapendi watu warefu eti ana aleji nao
Ndiyo miss u dady
Ahhhhhhha Mafikizolo njooo huku
Mbona hata yeye mrefu
Ndiyo tena sana
Miss u sana sweetheart.......mzima sana?
Miss you!
ila kuna watu wagomvi kweli. haya bhana ngoja tunyamaze tu.
hahahaha hawa wenzentu balaaaa a.k.a wazee wa lift