Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 25,100
- 27,195
Sasa hilo swali si unatakiwa kumuuliza mwenyekiti wa ccm?Hilo bakuli jk alilokuwa anapitisha huko duniani kwa miaka 10 tumefanya nini?
Sasa hilo swali si unatakiwa kumuuliza mwenyekiti wa ccm?Hilo bakuli jk alilokuwa anapitisha huko duniani kwa miaka 10 tumefanya nini?
Huyo jamaa Ni nouma anatwanga kotekote ahaa juzi kadai "NATO in this era is nothing rather than a huge loads to United States"hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa huyu kichaa
Hahahaaaaa! Kwa taarifa yako mm sio mwanasiasa ila ni Mtanzania ninayeipenda nchi yangu kwa moyo wangu wote na akili zangu zote. Mapenzi yangu kwa nchi yangu ndiyo yanayofanya niwashangae watu kama nyie ambao hamuwezi kutatua matatizo yenu ya kiuchumi na kisiasa bila kutegemea misaada kutoka kwa wazungu! Wanawadanganya eti demokrasia my foot! Wana demokrasia gani hao zaidi ya kuingilia masuala ya nchi zingine na nyie kama mazuzu mnakubali! Shame on u guys!We mpuuzi kweli sijui kama unajua unaloongea, akili yako ipo kisiasa zaidi. Unafikiria karibu sana. Unaongea nonsense confidently. [emoji57]
Tatizo sio kwamba haitotiathiri. , Ila wa Tz tunainekana waj... Kwa kufanya maamuzi ya kishenz.
Fikiria kwann wamesitisha kwanza ndo ujadili utasolve vipi.
Hii ni sawa Na kumfadhili mtoto asiyejishughulisha kusoma.
Think buddy Ts your time.
Unauhakika itaipata hiyo iliyoibiwa?Report ya CAG inaonyesha kuna upotevu wa fedha kizembe zaidi ya trillion 2 hao MCC wamekomaa na trilion 1. bora lipi hapo kupiga magoti hela za kuomba au kukomaa na hela unazoibiwa?
Jibu swali acha kukimbia.Sasa hilo swali si unatakiwa kumuuliza mwenyekiti wa ccm?
Kwakuwa wanaingilia NCHI zingine nanyie ndo mkaamua kuiga kuivamia Zanzibar.....wenzenu wanaiga mambo ya maana nyie manaiga yakijingaHahahaaaaa! Kwa taarifa yako mm sio mwanasiasa ila ni Mtanzania ninayeipenda nchi yangu kwa moyo wangu wote na akili zangu zote. Mapenzi yangu kwa nchi yangu ndiyo yanayofanya niwashangae watu kama nyie ambao hamuwezi kutatua matatizo yenu ya kiuchumi na kisiasa bila kutegemea misaada kutoka kwa wazungu! Wanawadanganya eti demokrasia my foot! Wana demokrasia gani hao zaidi ya kuingilia masuala ya nchi zingine na nyie kama mazuzu mnakubali! Shame on u guys!
Hatujashutukizwa. Wakati tukipeleka bakuli tulipewa masharti.Nakubaliana na mantiki ya Rais kuhusu umuhimu wa nchi yetu kujitegemea. Ila suala hili lilitakiwa kupangiwa mkakati wa muda mrefu kidogo siyo hii ya kushtukizwa na wafadhili wanaokatwa misaada yao halafu tunaanza kuongelea kujitegemea bila kueleza tunafidia vipi mapengo yanayoachwa na fedha za wafadhili zinazoondoka.
angalia fb ya bbc swahili; hata dira yadunia wameongeaHili la nchi kumi kusitisha misaada ni uzushi na uongo! Hszijatangazwa popote!
Ahahahahahahaaaaaaa wewe ni kipindu pindu eti?mbona tunaumia sana kunyimwa msaada??? can't we stand by our own hands??????
Luga gani hii umetumia hapa? Kimagufuli au kimahiga?people used to die in the rake in magus voice
Anacho sema kinadharia ni sahihi kabisa na ni kweli sisi ni matajiri sana.Sasa jiulize hivi wazungu wakiacha kuja kutembelea mbuga zetu tunaweza kupata fedha zozote? wakikataa kununua chai, kahawa n madini yetu yote badala yake wakanunua kutoka Nchi zingine utafanya nini na huo utajiri wa madini na gesi? Miaka ile Nyerere alipo taifisha mashamba ya chai na katani ya wazungu alijuta. wazungu wakaacha kununua chai yetu na katani mpaka akajuta akaamua kurudisha mashamba yote ya chai aliyo taifisha.Leo vijana mnashabikia kushindana na mzungu! na kulima kwenyewe hamjui!"Wale wanaojitokeza kutupa misaada, nataka niwahakikishie ile misaada ni ya masharti. Unaweza ukapewa masharti kwamba usikohoe na kikohozi kinakujaga tu. Kwa hiyo ni lazima watanzania tujisimamie sisi wenyewe. Na tukisimama sisi wenyewe, Tanzania hii tutavuka. Tanzania hii tuna kila kitu, Tanzania ni matajiri lakini utajiri tumeukalia"