Kabembe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2009
- 2,586
- 1,792
Kuna watu na viatu lakini wewe hata hadhi ya yeboyebo hujaifikia,kwa taarifa yako uliza wenzio unaosheherekea nao #MayDay kila mwaka ambao wanaishi mbeya watakwambia,mbeya ni mji mzuri kimazingira,kiuchumia na hasa gharama za maisha ni nafuu ukifananisha na miji mingine.