Haya Sasa Naona lile wazo la Naibu waziri aliepiga marufuku kuingia na simu zenye kamera wodini amesahamu kuwaandaa kinamama kupekuliwa mikoba yao pindi waingiapo na kutoka..!
Kasahau kutangaza ajira kwa watu watakaowapekua watu wanaoingia na kutoka, tukae chonjo wenyevyeti kugombania nafasi...
Nadhani jiji la DSM linawananchi wanaojielewa tena sanaa, wenye umakini mkubwa na utashi wa kitosha, tena wenye kufikiria jinsi ya kupambana na umaskini wa kiafrika but how comes tunashindwa kuelewa barabara za mabasi ya mwendokasi itumiwe na akina nani?
Au hatujui ni nini maana ya mabasi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.