Aman peaceful
Member
- Mar 2, 2018
- 89
- 63
- Thread starter
- #81
Shukran Mkuu!Kikubwa zingatia maelekezo na fanya kila kitendo kwa usahihi unapojifunza gari.
Shukran Mkuu!Kikubwa zingatia maelekezo na fanya kila kitendo kwa usahihi unapojifunza gari.
hahaaaDawa ya waazima ndinga ni kumiliki ndinga manual tu.
Unapohangaika utajikuta umewasha waipee bila kujua ndo maana kaongezeaWiper za nini sasa?
Dawa ya waazima ndinga ni kumiliki ndinga manual tu.
hahahaJiamin, ni simpo sana. Ila kama ukipata emergency yyte ng'ang'ania breki na usukani na wiper ndio mkombozi wako. Kila la kheri
hahaha labda alipanik ss akaona ashike kila kituWiper za nini sasa?
Real Men drives with 3 PedalsBinafsi naamini dereva hajakamilika kama hawezi kuendesha gari za Manual transmission. Mkuu big up kwa kuamua kujifunza gari za manual
HaswaaaaReal men take drive three pedals.
Ha ha ha mimi mlimani huwa na simama na accelarator tu kwenye autoKama unaweza kuendesha Automatic basi kwenye manual nenda kwenye miinuko sehemu ambapo ukiachia brake gari inarudi nyuma.Hapo jifunze kubalance brake,MOTO na clutch.
Usilazimishe kukalili jinsi ya kuondoka,KIKUBWA ISIKILIZE GARI INATAKA GEAR NO NGAPI.
Utazoea tu muda sio mrefu hata mlimani unasimama kwa kutumia clutch na moto bila brake.
Elewa kuna driver-proffesional(kazi ya udereva) na driver(anaendesha gari) lakini si kama kazi huyu auto inamtosha.Binafsi naamini dereva hajakamilika kama hawezi kuendesha gari za Manual transmission. Mkuu big up kwa kuamua kujifunza gari za manual
In my opinion dereva yoyote either by professional or not bila kuwa na utalaam wa kucheza na three pedal simuoni kama ni dereva haswa. What if ikitokea emergency na gari iliyopo ni manual transmissionElewa kuna driver-proffesional(kazi ya udereva) na driver(anaendesha gari) lakini si kama kazi huyu auto inamtosha.
Now you’re talking brotherReal Men drives with 3 Pedals
Kwa hiyo leseni yako ya magumashi mkuu ?Hivi vitu ni interest ma commitment juu ya ufuatiliaji! Binafsi gari nilijifunza kiajabu sana. Kwa mara ya kwanza mie niliendesha gari ikiwa ni automatic soon baada ya kununua...
Kwa hiyo leseni yako ya magumashi mkuu ?