Naelewa mkuu nimeandika hii posti nikiwa so emotional nikweli viongozi wetu ndo waliotuweka hapa je nisawa tuendelee kufurahia au tuwasusie na tuendelee na hii mentality?
Nashidwa kabisa kuelewa uzaleo wa hawa watu ambao ukiangalia vizuri post zao kama vile wanafurahia unyonyaji uliokuwepo wa madini nchini
Kweli tunashindwa hata kwa siku moja tukasimama kama watanzania tukatetea Tanzania hata bila kuweka itikadi or utofautiwetu wa kisiasa or utofauti wowote...
Anyway mimi acha tuu niwe old school ila bado nitaamini urafiki unaweza kuwepo ila sio urafiki wakimazoea sana hakuna mazoea kati ya mwanamke na mwanaume yasiingiliane na mapenzi
Mnamfuatilia mtu mpaka kanisani kwake hilo shirika nilakanisa na yy yupo kwenye hiyo organization kwa muda mrefu so aache kusaidia kisa muda wake wauongozi umepita. Hebu tuweke siasa pemben bana sio kila muda ni siasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.