Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 724
Hii ni dalili mbaya sana kwa nchi yetu. Kwa nini lakini tunateseka hivi?
Kwa nini MUNGU ameruhusu haya yatukute.
Tazama biashara zinakufa. Kodi kila mahali .
Hakuna nyongeza ya mshahara sasa miaka miwili.
Sina raha kabisa, sijui nyinyi wenzangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini MUNGU ameruhusu haya yatukute.
Tazama biashara zinakufa. Kodi kila mahali .
Hakuna nyongeza ya mshahara sasa miaka miwili.
Sina raha kabisa, sijui nyinyi wenzangu?
Sent using Jamii Forums mobile app