hahahahahah ukiitizama vizuri body language yake namna alivyokuwa anaongea kwanza alionekana ni mtu ana hofu ya kitu fulani kibaya kinaweza kutokea wakati wowote kwa uzembe wa siasa chafu dhidi ya bandari ambazo chama chake ilianzisha wakidhani itawasaidia au kuwanufaisha mambo nyeti kama ya...
naona tunaenda pamoja my point hata darasan huwez elewa yote kwa siku moja kila kitu kinahitaji muda pia
ndio nkatolea mfano mtu upo mazingira ya kazi boss wako amekupatia kazi labda mfano tengeneza average ya data fulani kwa excel
kitendo cha kuingia you tube na ukaisolve case ukakabidhi kazi...
acha kupotosha watu microsoft office sio kitu cha kumtishia mtu mwenye degree acha ushamba wewe hahahahahhah. ni kitu cha sekunde tu mtu kutatua anachotaka mfano mtu ana taka kufanya summation kwenye excel kama hajui akiingia youtube akauliza tu inakuja clip ya dk 1 inamuonesha anatembea tayari...
nafikiri ni hicho hicho kizazi ndio kinatoa lawama sasa hivi pengine mwanzoni hicho kizazi wengi wao kipindi hicho kilikua bado hakijaingia oral sasa nahisi majority ya hicho kizazi sasa hivi kinasubiria placement kwaio ndo mana kinaendelea kuwa aggressive hadi kupeleka hizi habari kwa mange...
ahhahahah mkaguzi hatafuti kosa yeye anaangalia specification inasemaje na ww umetekelezaje ukiwa kinyume na specification we jiandae kutiwa kamban na auditor wa aina yoyote yule 😃😃😃😃😃😃
yeaah hawakugomei kubapply ila mwishoni kwenye kuita watu kwwnye usaili utapata haki yako, mm nliombaga nafasi kama hiyo ilikubali lkn kwenye shortlist waka niandikie NOT SHORTLISTED sababu wakasema sikuwa na experience ya miaka waliyo specify wao kwenye tangazo
hivi jamii forum haina option ya kumblock mtu husione comments zake??? me huyo jamaa natamani nifanye hivyo mana huwa ana comment negativity tu kwenye huu uzi wa walamba asali.
Kama hiyo option ipo kwa anae jua anielekeze nimblock chap nisiwe naona anachopost hapa.
Tangazo lolote la ajira za umma likisema hata two months contract terms husilipuuze hizo huwa ni methodology za kushort list watu
mfano tangazo linasema two months contract barua ya ajira unasainishwa three years renewable contract hii ipo sana kwenye ajira za serikalini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.