Recent content by GUSEPE

  1. G

    Mvua kubwa katikati ya Jiji la Dar es Salaam

    united nation road maji yamejaa barabarani....duh kweli masika!
  2. G

    Mvua kubwa katikati ya Jiji la Dar es Salaam

    Wale wabishi wamabondeni-mkwajuni,jangwani,kigogo sambusa andaeni kabisa masufuria ya kutolea maji ndani!
  3. G

    Msaada kwa anejua malipo ya korosho Mtwara

    Kama ulivyosikia thats whats up!
  4. G

    Majina maarufu ya Kipare....!

    Kahoko,Mrindoko,Mlacha...
  5. G

    tangazo la vodacom lenye vionjo vya kihaya

    na lile la mkongo man je.....mim naitwaga Mududu,mutu pekee naishi kwenye chumba yenye choo ndani!ha ha ha
  6. G

    KIPINDI CHA ORIGINo KOmEdI

    Raha ya mazishi majembe kupokezana!
  7. G

    Mbunge wa jimbo la Kondoa kaskazini aweka jimbo mfukoni

    Katika wilaya zilizonyuma kimaendeleo nchini ni pamoja kondoa.huyu mama ni useless tatizo ni la warangi wa kuendekeza ukabila na udini...even Nkamia hana anachokifanya.2015 inakuja nadhani mabadiliko yanatakiwa wa mkoa mzima wa Dodoma
  8. G

    Elimu ya Mnyika

    Correct answer is HANA!
  9. G

    Elimu ya Mnyika

    HanaBBA, hakuhitimu!
  10. G

    Ni ujinga

    Ni ujinga kumwamsha mgonjwa ili umpe dawa ya usingizi....
  11. G

    Hiki walichonifanyia polisi ni haki?

    PT moja ilinigonga nikala nao sahani moja wakanilipa!may be ulikuwa na makosa...ungemkomalia aliekugonga.fuatilia hilo gari kituo linapopaki report hapohapo
  12. G

    Ma Lecturer na Prof Wanafaidi Sanaaa! Kila Mwaka Wanalamba Nyapu Mpyaaaaaaaa!!!!! (UKIMWI NI KIFO!)

    Halafu mlangoni wameandika students are not allowed!kumbe janja yao meeen
  13. G

    Ma Lecturer na Prof Wanafaidi Sanaaa! Kila Mwaka Wanalamba Nyapu Mpyaaaaaaaa!!!!! (UKIMWI NI KIFO!)

    Research yako nimeikubali Lara 1!vibinti vya B-COM chu mkononi vinapishana tu kuingiliwa
Back
Top Bottom