NAHINGA
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 1,019
- 338
Hakuna asiyejua kwamba hakuna uhusiano wa moja kwa moja baina ya kusoma na kuongoza.
Swali, kwanini aliwadanganya wapiga kura wake?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
masikini tanzania! kwani ailyewadanganya wapiga kura ni mnyika au wakina sshonza? kwani ww hukumskia shonza mwenyewe akitamka kuwa yeye ndie aliyezunguka kuwadanganya wapiga kura? hapo mwenye kosa si mnyika ni shonza na wenzake. msibadilishe maneno.