Katika wimbo wa Dizasta Vina =SHAHIDI, reporter wanasema meli iliyozama ni T912. Meli ilizama katika kilindi cha bahari ya Hindi.
N.B Wimbo uliachiwa April 2022. #HipHop
Early humans were never chimpanzees. They only resembled chimpanzees....Wanahistoria wengi na walimu wa history wengi huwa wanaeleza taarifa pindishi tofauti na kile alichoandika Charles Darwin.
Wanajamvi kheri?
Nina ugonjwa wa moyo tiba yake ni wimbo wa Stara Thomas ft Chid benz unaitwa "Nini sina " producer Lamar.
Natanguliza shukrani za dhati kabisa [emoji120]
Toa hela....Jaffarai ft AY
Hawatuwezi....N2N
Darubini kali....Afande sele
Niko busy......Jaffarai
Tingisha.....Jay moe n T.I.D
Unaweza panga ngoma 100 za P funk alafu ya mwisho kwako ikawa ya kwanza kwa mwingine...True legend of our game.
Lami ni hiyo ya high way tu...vipi Mchangani panafikika? Unaijua vizuri mitaa ya bugayambelele na barabara zake? Vipi kilimahewa? Msufini? Mtakuja?....Maji pia bado ni shida, kwa idadi ile ya watu hawatakiwi kutegemea kabahelele tu. Hospitali mpya bado haina huduma muhimu kama madaktari na dawa...
Wengi mizigo wanatoa Uganda na wachache wanaagiza nje directly....Wale jamaa wana hela na ushindani endelevu.
Naipenda sana ile sehemu....wakiboreshewa barabara tu na huduma nyinginezo kama stand ya kisasa, maji na huduma nzuri za kiafya, baada ya miaka 20 tutaanza kuilinganisha na miji kama Mwanza
Story tatu ..Jay moe
Show time...FA
Natubu...Chid benz
Twenzetu tusonge...Chid benz & Jay moe
Mchizi wangu...N2N
Tuko pamoja...Masu-Li
Just to mention afew
Nimeitazama tena game ya jana...Aise ile pass ya Bruno Fernandez kwenda kwa Rashid ni ya kiwango cha namna yake.
Ile pass ingepigwa karne ya 17 huko, ingetosha kabisa kuzuia biashara ya utumwa...Dah! What a pass!!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.