The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Tulicheza mpira wa akili zaidi yenu pia tuna wachezaji bora zaidi yenu, kubali kushindwa.Weka takwimu tumewazidi kila kitu nyumbu
Tulicheza mpira wa akili zaidi yenu pia tuna wachezaji bora zaidi yenu, kubali kushindwa.Weka takwimu tumewazidi kila kitu nyumbu
Kwani wewe tulikufanya nini??Timu gani linapigwa hadi na Nyumbu?
Timu la mchongo hili.
Tuliwazidi in almost everything.Wacha uwongo labda kama kuna mechi nyingine ulikuwa unaangalia
Kuruka ruka ndiyo kawaida yenu ila cc huwa tunawafumua malinda tuKufungwa na Man U, haimaanishi Arsenal ni mbovu au hakuna progress. Progress inaonekana wazi kabisa!
Yoyote aliyeangalia mechi anajua Arsenal walivyo hatari.
Ni mechi ya kwanza dhidi ya Top 6 opponent. Huwezi kutumia mechi moja kama reference kwamba Arsenal bado hawezi kuzifunga Top 6 teams.
Misimu mingapi Man City anafungwa na kina Man U, Tottenham nk... na bado anachukua ndoo.
Kuna mdau mmoja alisema "Kama Man U ingecheza kama Arsenal jana, basi Man U angeshinda nyingi mnoo"
Kabla ya kufungwa goli la pill, Arsenal walikuwa dominant, walicontrol mpira na walikuwa threat going forward.
Goli la pili lilibadilisha dynamics za mechi. Wachezaji nao ni binadamu siyo robots, wanapata mental breakdowns pia.











Waambie ukweli hawa wajinga, Arsenal ni timu ya masihara yn timu ina vitoto vitoto alafu ndio ije ichukue ubingwa wa ligi au UCL? Waambie wasahauFan yoyote wa Arsenal ambaye atasema Arsenal imeonyesha improvement tangia enzi za legend Wenger aachie team up to now anastahili MAKOFI MATATU YA USONI YA NGUVU and then aonyeshe difference tokea enzi hizo na sasa but for me Arsenal ni ile ile tia maji tia maji tunaweza tukawin against Southampton Bournemouth Fulham away but not for the top 6 teams so my conclusion is Arsenal ni ile ile nothing new ukweli mchungu but that's NAKED TRUTH hakuna changes mpya up to now
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app







Hizi tambo ndio zimekuwa zikiwapoteza miaka yote ,Nyie majibwa mmeshindaje? Sasa mnalalamika nn? Tangu lini Arsenal kufungwa na man u ikawa jambo la ajabu?
Sasa sikilizeni Man u ndiye bingwa msimu huu mtake msitake, mnaona mpira tunaocheza kwa ss? Yani kwa mpira huu ubingwa upo wazi kabisa msimu huu hakuna wa kutuzuia.




Hii ni matakatakaKwani wewe tulikufanya nini??
Unaota wewe atiNyie majibwa mmeshindaje? Sasa mnalalamika nn? Tangu lini Arsenal kufungwa na man u ikawa jambo la ajabu?
Sasa sikilizeni Man u ndiye bingwa msimu huu mtake msitake, mnaona mpira tunaocheza kwa ss? Yani kwa mpira huu ubingwa upo wazi kabisa msimu huu hakuna wa kutuzuia.
Hivi wewe jamaa ni mzima Kweli sasa timu inacheza ilu imzidi mtu au ipate ushindi inatakiwa mashabiki wa arsenal muanze kupimwa ubongo saizi.Weka takwimu tumewazidi kila kitu nyumbu
Weka msimamo basi tuone point zako ngapi after the Win.Hivi wewe jamaa ni mzima Kweli sasa timu inacheza ilu imzidi mtu au ipate ushindi inatakiwa mashabiki wa arsenal muanze kupimwa ubongo saizi.
Yani watu wanataka point wewe unaleta habari za kucheza mpira mzuri kwani kuna mwaka arsenal mjacheza mpira mzuri mbona toka kwa wenger mnachezaga mpira mzuri ila kombe la ligi sio muda mtatimiza miaka 20 mjabeba aise.

Aaaha Sasa na wewe takataka acha sifa Sasa ..kuwaponda arse8 siyo kwamba nyie mutakuwa mabingwa. Hapana, nyie bado Ni takataka tu Kama Hawa arse8 ..hapa bado hamuna timu ya kuchukua ubingwa.Nyie majibwa mmeshindaje? Sasa mnalalamika nn? Tangu lini Arsenal kufungwa na man u ikawa jambo la ajabu?
Sasa sikilizeni Man u ndiye bingwa msimu huu mtake msitake, mnaona mpira tunaocheza kwa ss? Yani kwa mpira huu ubingwa upo wazi kabisa msimu huu hakuna wa kutuzuia.
Kwa iyo hawa arse8 apa ndio wanajidanganya wapo kileleni 😂😂😂😂
Bahati!? Fuatilia jinsi United wanavyocheza na timu zinazo-possess. Jiulize kwanini United ana magoli mengi msimu huu dhidi ya Arsenal na Liverpool kuliko Southampton na Leicester City.Sasa kama anatawala possesion why uwaunderrate viungo wa arsenal?wakati mpira wametawala na bahati imeamua
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app



Amesimama kuti kavuKwa iyo hawa arse8 apa ndio wanajidanganya wapo kileleni 😂😂😂😂
You have nailed it broBahati!? Fuatilia jinsi United wanavyocheza na timu zinazo-possess. Jiulize kwanini United ana magoli mengi msimu huu dhidi ya Arsenal na Liverpool kuliko Southampton na Leicester City.
Mlizidiwa kimbinu na kosa kubwa mlilofanya ni kuja OT kusaka points 3 (ndiyo kila timu inahitaji points 3) unapaswa kujua aina ya opponent unayekutana naye. Kila mechi inapoanza timu inakuwa na point 1 ya uhakika hiyo ndiyo mlipaswa kuilinda suala la points 3 lilipaswa kuja mchezo utakapoamua opponent wenu akifanya errors.
Mawazo yenu mliyaweka zaidi kwenye kuendeleza winning streak yenu bila kujali mtatoka na nini OT. United wameshinda kwasababu ya defense, walichofanya goli la kwanza walicheza jinsi Ten Hag anavyotaka 'pasi nyingi' na goli la pili na tatu ni 'The United Way' mpira wa counter attack wakawaingiza kwenye mtego kwa kupaki basi kitu ambacho kiliwafanya wachezaji wenu wote kupanda kusaidiana kuifungua United na hapo ndiyo defense nzuri ilipoipa ushindi United kwa kutoruhusu goli.
Mlipopoteza mipira wakati mnashambulia ndiyo United kwa kuwatumia Bruno na Rashford wakawaadhibu kwa counter. Pasi za Bruno huwa ni hatari kwenye mipira ya counter attack.
Arsenal mngekuja kwa lengo la kupata droo huenda mngefaulu, mlipopata goli la kusawazisha momentum ndiyo ikawaingiza zaidi kwenye mfumo wa United maana mliamini sasa tupande wote tusaidiane kupata goli la ushindi, na ile sub ya Ronaldo iliwachanganya mabeki wenu huku wakimuacha Rashford anafanya mikimbio yake.




AKILI KUBWABahati!? Fuatilia jinsi United wanavyocheza na timu zinazo-possess. Jiulize kwanini United ana magoli mengi msimu huu dhidi ya Arsenal na Liverpool kuliko Southampton na Leicester City.
Mlizidiwa kimbinu na kosa kubwa mlilofanya ni kuja OT kusaka points 3 (ndiyo kila timu inahitaji points 3) unapaswa kujua aina ya opponent unayekutana naye. Kila mechi inapoanza timu inakuwa na point 1 ya uhakika hiyo ndiyo mlipaswa kuilinda suala la points 3 lilipaswa kuja mchezo utakapoamua opponent wenu akifanya errors.
Mawazo yenu mliyaweka zaidi kwenye kuendeleza winning streak yenu bila kujali mtatoka na nini OT. United wameshinda kwasababu ya defense, walichofanya goli la kwanza walicheza jinsi Ten Hag anavyotaka 'pasi nyingi' na goli la pili na tatu ni 'The United Way' mpira wa counter attack wakawaingiza kwenye mtego kwa kupaki basi kitu ambacho kiliwafanya wachezaji wenu wote kupanda kusaidiana kuifungua United na hapo ndiyo defense nzuri ilipoipa ushindi United kwa kutoruhusu goli.
Mlipopoteza mipira wakati mnashambulia ndiyo United kwa kuwatumia Bruno na Rashford wakawaadhibu kwa counter. Pasi za Bruno huwa ni hatari kwenye mipira ya counter attack.
Arsenal mngekuja kwa lengo la kupata droo huenda mngefaulu, mlipopata goli la kusawazisha momentum ndiyo ikawaingiza zaidi kwenye mfumo wa United maana mliamini sasa tupande wote tusaidiane kupata goli la ushindi, na ile sub ya Ronaldo iliwachanganya mabeki wenu huku wakimuacha Rashford anafanya mikimbio yake.
Nyinyi mnayo, nakubaliAaaha Sasa na wewe takataka acha sifa Sasa ..kuwaponda arse8 siyo kwamba nyie mutakuwa mabingwa. Hapana, nyie bado Ni takataka tu Kama Hawa arse8 ..hapa bado hamuna timu ya kuchukua ubingwa.
.