Je unaamini Binadamu alikuwa Sokwe?

Je unaamini Binadamu alikuwa Sokwe?

Tupe brief Mkuu na uchambuzi wako juu ya Iman yako juu ya Mungu
Brief ni kwamba sitaki imani nataka kujua mambo yaliyohakikiwa kwa misingi ya mantiki yenye uthabiti, logical consistency.

Mungu gani unamuongelea?

Tukianza na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote (kama vile Allah na Jehovah) huyu hayupo ni kabobo za kuungaunga za watu tu.

Ukimpima kimantiki unaona contradictions kama Epicurean Paradox zinazoonesha hayupo ni muhusika katika hadithi ya kutungwa ya watu tu.

Kuna kitabu kakiweka Bufa hapo juu anakisoma kimeelezea vizuri sana haya mambo.
 
anafananisha ila sio kuwa Mtu alikuwa ni sokwe
Weka maneno ya Darwin ya moja kwa moja aliyoandika mwenyewe, usiweke tafsiri yako wewe ulivyomuelewa Darwin.

Kwa sababu, nishasema sina imani kuwa unaelewa Kiingereza, hususan Kiingereza cha miaka ya Darwin, na siamini una uwezo wa kusoma kwa ufahamu (reading with comprehension).

Sina uhakika kuwa umeelewa Darwin aliandika nini.

Weka alichoandika Darwin tukichambue hapa.

Weka maneno ya Darwin mwenyewe tuyachambue.
 
Charles Darwlin
He proposed that humankind originated from man-like apes (first quote) in Africa and that humans are most allied to chimpanzees and gorillas (second quote). Further, Darwin seems to have thought that our progenitors were more like chimpanzees than gorillas (third quote).

Na Theory of creation inasema
God made Adam from dust, in God's image, “the Lord God formed the man from the dust of the ground and breathed into his nostrils the breath of life, and the man became a living person”(Genesis 2:7)

We upo Upande Gani?
Na kwa nini wametufundisha shuleni kwenye History sisi tulikuwa ni apes
Aa wapi😎
Alikuwa Mungu
 
Brief ni kwamba sitaki imani nataka kujua mambo yaliyohakikiwa kwa misingi ya mantiki yenye uthabiti, logical consistency.

Mungu gani unamuongelea?

Tukianza na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote (kama vile Allah na Jehovah) huyu hayupo ni kabobo za kuungaunga za watu tu.

Ukimpima kimantiki unaona contradictions kama Epicurean Paradox zinazoonesha hayupo ni muhusika katika hadithi ya kutungwa ya watu tu.

Kuna kitabu kakiweka Bufa hapo juu anakisoma kimeelezea vizuri sana haya mambo.
Hayo yote ili msiamini Kama Mungu yupo Ili kuwapoteza watu. Shetani apate wafuasi wake.
Yohana 3:36 Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia

Ufunuo 21:8 Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
 
Hayo yote ili msiamini Kama Mungu yupo Ili kuwapoteza watu. Shetani apate wafuasi wake.
Yohana 3:36 Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia

Ufunuo 21:8 Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
Biblia imejaa contradictions zinazoonesha ni kitabu cha habari za kuungwaungwa na watu tu.

Nikikuwekea contradictions hizo hapa hutaweza kumaliza kuzipangua.

Bisha.
 
Charles Darwlin
He proposed that humankind originated from man-like apes (first quote) in Africa and that humans are most allied to chimpanzees and gorillas (second quote). Further, Darwin seems to have thought that our progenitors were more like chimpanzees than gorillas (third quote).

Na Theory of creation inasema
God made Adam from dust, in God's image, “the Lord God formed the man from the dust of the ground and breathed into his nostrils the breath of life, and the man became a living person”(Genesis 2:7)

We upo Upande Gani?
Na kwa nini wametufundisha shuleni kwenye History sisi tulikuwa ni apes
You've quotes from two different schools of thoughts. One is scientific (with human proofs) and another is idealistic (without human proofs). How do we compare them then?
 
Early humans were never chimpanzees. They only resembled chimpanzees....Wanahistoria wengi na walimu wa history wengi huwa wanaeleza taarifa pindishi tofauti na kile alichoandika Charles Darwin.
 
Hizo habari za binadamu kuwa sokwe umefundishwa na nani? Kwenye sayansi hakuna kitu kama hicho.

Mkiwa shule muwe mnatilia maanani yanayofundishwa, itawasaidia kuepukana na kutoelewa somo ma kuobeba taarifa zisizo sahihi.
 
Hayo yote ili msiamini Kama Mungu yupo Ili kuwapoteza watu. Shetani apate wafuasi wake.
Yohana 3:36 Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia

Ufunuo 21:8 Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
Ulianza vizuri
Ukafeli hapa ulipoleta hekaya za mashariki ya kati...
Kamlete Darwin uliomsingingizia.....
 
Hiki naki attach.
asante mkuu kwa mchango wako hapa. sasa, naomba nikuombe utoe uelewa wako hapa. kwa muda mrefu sasa watu wamekuwa wakipotosha mengi kuhusu nadharia hii ya mabadiliko ya mtu.
 
huwezi amini huu uzi umekufa hapa. siku hizi mada kama hizi wachangiaji wamekuwa ni adimu mno.
 
Charles Darwin
Huyo amenilamba BLOCK!
Mwambie hayo maneno umeyapata humu!

sapiens.png
 
Back
Top Bottom