Habari wana Jf,
Mimi ni mteja na mtumiaji wa laini ya Halotel kwa kipindi kirefu sasa. Nakumbuka laini yangu ilisajiliwa kama ya chuo na nimekuwa nikijiunga na vifurushi vya chuo kwa kuandika *148*55#. Kifurushi ambacho napendelea kujiunga ni cha dakika, sms na MB 550 kwa tsh. 950 through...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.