Hujaelewa mkuu! Zimbabwe ametumia kama kiitikio lkn hakija beba maana yeyote,nilipokuwa jkt miaka kadhaa iliyopita tuliimba sana kwenye mchakamchaka hiko kiitikio cha Zimbabwe.Tunaelekea Zimbabwe!!!!!
Exactly mkuu. Kuna maana kubwa sana kwenye hili neno "Nakwenda Zimbabwe"
Umeenda mbali sana mkuu! Hiko ni kionjo tu,ungekuwa umebahatika kucheza mgambo au kupitia jkt ungeelewa hilo neno Zimbabwe,hutumiwa tu kuongeza hamasa pindi munspokimbia mchakamchskaNi swala la mda tu wote tutaelewa tushafika kwa mugabe..... "Nakwenda Zimbabwe"
Sent using Jamii Forums mobile app
mungu wa Bashite ndio mungu wa Pombe na ndio mungu wa Christian Mananiliiiii fafafa fa (in Gwajima voice)"Mungu wa Paulo, Mungu wa Daudi na Mungu wa Yohana"
Mstari huo alikuwa anamaanisha nini wadau?
Hujaelewa mkuu! Zimbabwe ametumia kama kiitikio lkn hakija beba maana yeyote,nilipokuwa jkt miaka kadhaa iliyopita tuliimba sana kwenye mchakamchaka hiko kiitikio cha Zimbabwe.
Mkuu,kwani hata kama alitatuliwa rinda ndio anajiunga na timu moja kwa moja..? Jibu ni hapana.kitu pekee ambacho nimekuwa nikimuombea uyu dogo ni kwamba, awe alitekwa lakini walimhurumia kumtatua rinda. kama atakuwa amepoteza rinda hapo sasa, sijui atafanyeje. ila kwa trauma ile aliyokuwa nayo wiki lile, aisee kuna siku Mungu atawalipa watesi wake tu.
Zimbabwe kwenye umasikini wa kutisha.Exactly mkuu. Kuna maana kubwa sana kwenye hili neno "Nakwenda Zimbabwe"
Hivi huko si ndo kwa yule jamaa mbabe ambaye anazeekea Madarakani. Kwenye video naona anaenda Zimbabwe na raia kutoka kila sekta wanamfuata. Hili dongo la kisomi sana.
Kakuambia yeye sio tu rappa bali ni baba wa familia!Dizaini bado Ana uoga wa kutosha
Sawa mkuu! Kila mtu ana upeo wake wa kutafsiri jamboWewe ndiyo hujaelewa tafsida iliyofichwa humo.
Na yeye alitaka uelewe hivyo sababu imewekwa kwa wanaona mbali.
Tazama picha na matendo huku ukisikiliza maneno utapata jibu
Mkuu kwa video inavyoongea inasapoti kabsa kwenda Zimbabwe. watu wote wanaacha shughuli zao wanamfuata nyuma mchizi, haijalishi umuhimu wa shughuli yenyeweHujaelewa mkuu! Zimbabwe ametumia kama kiitikio lkn hakija beba maana yeyote,nilipokuwa jkt miaka kadhaa iliyopita tuliimba sana kwenye mchakamchaka hiko kiitikio cha Zimbabwe.
Apoteze mara mbili?Aro we riroma, unataafuta nini wee dogo.. Au unataka kupoteza marinda? Teh teh
Hahahahahaha!Mkuu kwa video inavyoongea inasapoti kabsa kwenda Zimbabwe. watu wote wanaacha shughuli zao wanamfuata nyuma mchizi, haijalishi umuhimu wa shughuli yenyewe