si kweli mkuu hapo hizo ni list ya specs hakuna comparison, ngoja nikuulize maswali
-wapi wameandika aina za ram? ni ddr3 au ddr4 ni single chanell au dual chanell?
-hizo storage ni zipi? ni emmc au ufs zina speed kiasi gani?
-sensor ya camera ina ukubwa gani? ina ois?, aperture je, kama haina ois ina hata eis? inarecord 4K? kama ndio fps ngapi?, ni wide angle? etc
ukiangalia tu hayo mambo matatu utaona hakuna comparison hapo.
Usiseme si kweli, sema hakuna comparison ya hivyo vitu ulivyoorodhesha, nikuulize swali RAM sio sehemu ya specification? Storage sio sehemu ya specs? Na hivyo vyote ulivyovitaja sio specs?
Halafu kama wewe ni mtaalamu wa architecture na os za simu, unaweza kufigure out hivyo vyote unavyouliza. Halafu ukaja na findings, na baada ya kuja na findings, unaelezea hivi, kwa mfano:
1. Nimekuta processor ya Sumsung xx ni multi-core (quad, dual, octa, etc.,) processor, multi-threaded or single-threaded, RAM ni DDR4 RAM (Double data rate 4th generation synchronous dynamic random-access memory) na Tecno xx processor yake ni ..........., halafu ukaeleza jinsi hivyo vitu vinavyofanya kazi na tofauti yake, na hiyo tofauti ni kwa kiasi gani. Pia ueleze ni programs zipi na instructions gani za simu sio multi-threaded kiasi kwamba haziwezi kutake advantage ya multi-processing units , i.e, haziwezi kuwa parallelized au haziwezi kurun concurrently, toa na sababu, soma hapa:
"Although it's tempting to suppose that a quad-core processor would operate twice as fast as a dual-core processor and four times as fast as a single-core processor, things don't work out that simply. Results vary depending on the habits of the computer user, the nature of the programs being run, and the compatibility of the processor with other
hardware in the system as a whole. Some programs are
just single-threaded in nature and don't speed up much from multi core CPUs" -
What is quad-core processor? - Definition from WhatIs.com
2. Baada ya hapo ukaeleza aina na tofauti za storages, na kuonyesha kwa ufasaha tofauti na any significant differences, nenda mbali zaidi kuelezea cache memory.
3. Baada ya hapo ukaja tena kwenye sensor, uanze kwa kueleza sensor ni nini, inafanyaje kazi, kwa nini architecture fulani ya sensor ni nzuri kuliko nyingine? Uelezee vitu kama aperture, sensitivity, resolution, sampling rate nk., kwa kila camera (usipime resolution ya camera kwa macho), kwa nini? Kwa sababu sio kila mtu anaweza kupiga picha kwa ufasaha, upigaji picha ni utaalamu na kupiga picha nzuri sio kazi rahisi:
Photography Is Difficult
Pia kuna factors nyingi zinazoathiri picha, mfano mmoja ni hali ya hewa kama vile atmosphere moisture. Isitoshe macho yanatofautiana kuona.
Kimsingi chukua kila attribute ya simu, baadhi hizi hapa:
Compare Tecno i7 vs Samsung Galaxy S7 Edge Size, Specs, Camera halafu chambua kwa ufasaha, then njoo na calculated, quantitative na qualitative evidence.
Nimekupa kazi, usiikimbie. Nataka uwaeleze watu kwa kuandika kitaalamu.