Recent content by goraslaw

  1. G

    CRDB Mnatuibia, acheni

    Hii inaitwa standard law ambapo sheria inapoundwa mteja hakuwepo ila inatakiwa uifuate hiyo Sheria japo hukuhusishwa kuitunga! Mfano, nyuma ya tiketi za magari zimeandikwa nyuma kuwa tiketi ikishakatwa fedha hairudishwi kwa namna yeyote
  2. G

    Wanachama 900 NSSF wawasilisha madai feki

    Kati ya hao 900 wapo ambao siyo retired ghost lakini watadhulumika tu kwa utendaji mbovu wa wanao hakiki!
  3. G

    Ushauri: Tumefunga ndoa, mimi mkristo yeye muislamu ila simuelewi

    Hakuna ndoa kati ya Mwislamu na Mkiristo,,,Sheria hiyo
  4. G

    Rais Magufuli anadukua simu za mawaziri na kusoma meseji zao? Sikia hili

    Mlioko humu hamna hata moja anaejua kitu,,,kuna kitu kinaitwa TIS ambapo simu za watumishi wote zime kuwa connected on it ila watumishi wengi hawajitambui except cc ma It's
  5. G

    Tunaokumbuka ' Differential Equations na Integral ' tukutane hapa..

    kweli hujui inglish mzee baba hiyi peoples imekaaje?
  6. G

    Tetesi: Alikiba kuja na radio yake "king FM"

    kings FM sisi huku njombe tunayo tangia kitambo
  7. G

    Msaada jinsi ya kufika NACTE ukitokea Mbagala

    panda gari shuka riverside chukua gari za mbezi mwisho shuka mbezi panda gari za magohe shukia kwa matias, chukua boda buku tu mpaka nyumbu utakuta geti waambie naenda kwa nacte
  8. G

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Naomba ule wimbo wa ccm wataisoma namba
  9. G

    Ajali, Kondoo: Basi la Kampuni ya Sharon Classic lateketea kwa moto maeneo ya Bicha

    Linaungua moto gari moja tu, ila baada ya mwezi ana import gari 10 mpaka 15, mpaka mje mstukie issue ila wachache tunajua!
  10. G

    Watanzania wana haki ya kutilia shaka urafiki wa Magufuli na Kagame

    Baadhi ya escorter wa number 1 wetu ni Rwandies. Pia kuna DAS moja hivi nyanda za juzi kusini ukimona tu bila kupepesa macho utamgundua ni rwandies!
  11. G

    Natafuta mume jamani

    dini yako tafadhali,,,,mahoganies second wife/secondlady
  12. G

    BADO NATAFUTA KAZI WAKUU

    nenda chuo tu hiyo cyo Elihu kwa sasa!
Back
Top Bottom