Hii inaitwa standard law ambapo sheria inapoundwa mteja hakuwepo ila inatakiwa uifuate hiyo Sheria japo hukuhusishwa kuitunga!
Mfano, nyuma ya tiketi za magari zimeandikwa nyuma kuwa tiketi ikishakatwa fedha hairudishwi kwa namna yeyote
Mlioko humu hamna hata moja anaejua kitu,,,kuna kitu kinaitwa TIS ambapo simu za watumishi wote zime kuwa connected on it ila watumishi wengi hawajitambui except cc ma It's
panda gari shuka riverside chukua gari za mbezi mwisho shuka mbezi panda gari za magohe shukia kwa matias, chukua boda buku tu mpaka nyumbu utakuta geti waambie naenda kwa nacte
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.