Recent content by GNA

  1. G

    JamiiForums Tanzania Polisi wako eneo la Mwandege Azam wanakula rushwa

    Mimi mwenyewe nimeona huu mchezo, kondakta anasimamisha gari, anakwenda kumpaa trafic elfu kumi, nimejaribu kumuuliza konda hiyo hela uliyompa ya nini, akaniambia ya operation, nikamuuliza operation gani, akasikitika tu, akaniambia kaka tunapigwa hela kweli, ndugu Sirro tupia macho police wa...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Ni tabia mbaya na isiyo na maadili kukosoa kila jambo linalofanywa/kuanzishwa na Serikali

    NI WEHU KUKU BALI KILA JAMBO AMBALO NI LA HOVYO
  3. G

    JamiiForums Tanzania Sehemu za kula ni shida kwa wasafiri wa mabasi ya mikoani

    Nikweli Kilimanjaro wako vizuri, jana nimetoka moshi, ila nauli zao nazo, ila poa tu. Kichwa kimoja35elfu. Kwa luxury class
  4. G

    JamiiForums Tanzania Magazeti yapotezea Drama za Magufuli Bandarini

    makelele tu.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Tanganyika Law Society(TLS) wapingwa mahakamani

    Commonsense, may be is a trick
  6. G

    JamiiForums Tanzania Kenya na Uganda wadanganya kuhusu ujio wa Will Smith

    Is good to use commonsense.
  7. G

    JamiiForums Tanzania CCM imepatwa na nini? Kauli zake ndio kila kitu

    ACHA WAFU WAZIKANE OVA
  8. G

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu amjibu Magufuli juu ya yeye kugombea TLS

    Katika watu makini katika bara la Africa, wakwanza lisu, wapili mimi. Fikra pevu.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya Dawa za Kulevya: Maswali magumu na muhimu

    ili uwe na maendeleo lazma uwe na roadmap, kama hunaa, mh, mmh
  10. G

    JamiiForums Tanzania Maisha ya hawa wasanii wa bongo muvi mwaka mmoja baada ya Uchaguzi yakoje?

    NACHEKEA BAFUNI, MMH, KAMA MAZURI.
  11. G

    JamiiForums Tanzania Masomo ya kilimo na ufugaji

    my please add me my number is 0685842031, thanks
  12. G

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aongoza wananchi wa Dar kuaga mwili wa Dk. Didas Massaburi, atoa neno

    "Wakati mwingine kusema ukweli sehemu fulani ni upuuzi mtupu, na hauna maana, wakati fulani pia, kusema uongo ukichanganyika na busara unamaana sana, na huwa ukweli wenye msaada kamili". Godfrey Nangeda
  13. G

    JamiiForums Tanzania TANESCO Vikindu Mkuranga kulikoni kukata umeme kila Jumamosi?

    Hivi nyie TANESCO Vikindu mna matatizo gani? Mbona kila Jumamosi mnakata umeme kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa 12 jioni Bila maelezo yoyote? Huku kuna tatizo gani ambalo kila Jumamosi umeme lazima ukatwe? Nimefanya utafiti mdogo nikagundua kuna series ya hii tabia. Source mimi mwenyewe na...
Back
Top Bottom