Hivi nyie TANESCO Vikindu mna matatizo gani? Mbona kila Jumamosi mnakata umeme kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa 12 jioni Bila maelezo yoyote? Huku kuna tatizo gani ambalo kila Jumamosi umeme lazima ukatwe?
Nimefanya utafiti mdogo nikagundua kuna series ya hii tabia.
Source mimi mwenyewe na utafiti mdogo niliofanya..
Nimefanya utafiti mdogo nikagundua kuna series ya hii tabia.
Source mimi mwenyewe na utafiti mdogo niliofanya..