Recent content by Ginila Nyeura

  1. G

    JamiiForums Tanzania Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Kuwahi bar si kulewa meno mengi lakini mabovu utake usitake, utataka tu jogoo hafi kwa utitiri
  2. G

    JamiiForums Tanzania Kitanda cha Mugabe!

    ikibidi kuonja pepo ukingali mu dunia,,,,,,,,,,,,,, onja 222222. mwacheni babu wa wa2 asubiri zamu yake ya kum-Gaddafi
  3. G

    JamiiForums Tanzania Kumbe Igunga shwari hivi...

    ndo inatakiwa iwe hivyo, tuwahukumu watu kwa sera na matendo yao (wahusika siyo kila shabiki wa chama husika)!!!!!!!!!
  4. G

    JamiiForums Tanzania Tazama hii Picha Ipe neno!!!

    kukijenga chama unaanza kulisha sumu ya siasa kwa watoto.
  5. G

    JamiiForums Tanzania if your too sensitive.. DONT OPEN!...

    kwa kweli, Mungu atunusuru
  6. G

    JamiiForums Tanzania hivi hii nchi inalala?

    nimekuwa kwenye mpaka wa malawi na tanzania, kufika jioni mpaka unafungwa eti hakuna tena muvumenti za malawi tz. kibaya zaidi funguo za gate anazo inchaji halafu hayupo getini. inapotokea imejensi mpaka mkuu atafutwe ndo mambo yaende, ktk hali ya kawaida mie naona mtindo huu ukomeshwe maana...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Safari ya 315: Rais Kikwete kuelekea Namibia?

    Mwacheni auze sura, maana ndicho alichoomba kwa wapiga kura!!!!!!!!!!!!11
  8. G

    JamiiForums Tanzania Kasheshe la Mafuta: Dar kimeanza kuwaka, vituo kadhaa vyaanza kutoa mafuta!

    wakituzingua tuchome moto vituo vyote vya mafuta. tumachoka kuonewa maana hivi vituo ni vyao wao, bora tutiane hasara. WAO WAKIMWAGA MBOGA SIE TUMWAGE UGALI. HATUSHINDWI KUWA KAMA TUNISIA!!!!!!!!!!!!!!!!!! IKIWA HATA ENGLAND NAO WANAGOMA ITAKUWA SISI.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Ludewa (Filikunjombe) ana ushahidi wa Barua ya Jairo kusimamisha mradi wa umeme Liganga!

    jamani mtupe hayo mambo kwa kina, wengine tuko mbali na radio, TV na magazeti ndo yanatufikia keshokutwa.
  10. G

    JamiiForums Tanzania Je, Mmiliki wa Lake Oil ni nani?

    Inawezekana ndo maana baba yake hajishughulishi na kufufua reli ya kati, ili biashara ifanyike. Maana siku hizi, biashara za wakulu wa hano ni vituo vya mafuta na usafirishaji.
  11. G

    JamiiForums Tanzania Hivi watoto hawa wazazi wao hawalipi kodi!!!!

    Hiyo yote ni kwa sababu watoto wao hawasomi shule kama hizo. Kama huamini kaulize watoto wa wa-kulu wa nchi hii wanasoma wapi.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo rekodi ya uchapakazi wa Lowassa

    Mimi ninasema huyu bwana ni mwizi, kama vipi, kwenye marekebisho ya katiba tuondoe kinga ya viongazi kushtakiwa ili tuwe huru kudeal na viongozi wezi wote baada ya kipindi chao cha uongozi.
Back
Top Bottom