Ginila Nyeura
Member
- May 21, 2011
- 12
- 11
nimekuwa kwenye mpaka wa malawi na tanzania, kufika jioni mpaka unafungwa eti hakuna tena muvumenti za malawi tz. kibaya zaidi funguo za gate anazo inchaji halafu hayupo getini. inapotokea imejensi mpaka mkuu atafutwe ndo mambo yaende, ktk hali ya kawaida mie naona mtindo huu ukomeshwe maana zile enzi za nchi kulala zimekwisha! tuamke sasa tuache wananchi ndo walale na siyo kuilaza nchi!!!!!