IGUNGA kipindi cha miaka 50 iliyopita ndio hiyo je itabadilika sasa miaka hii 4, ama wajinga ndio waliwao, Mtoto akichezea wembe mpe, wamepewa , wenyewe hao JIJINI , vilio na kuomba misaada ingojeni, vinginevyo,AMKENI wakati wenu huu. Ahadi kemkem mmepewa Budgeti ipi wakati TANZGIZA inaongezewa Deni la Dowans,Poleni wajameni nawtakuwa kila lenye heri kwenu.