Kitanda cha Mugabe!

Kitanda cha Mugabe!

Acha porojo wewe...!! Lini umefika chumbani kwa Mugabe?
 
Kwani kibofu chake kimepona? Ila hayo yooooote yana mwisho wakati ni ukuta
 
Acha porojo wewe...!! Lini umefika chumbani kwa Mugabe?


Jamani Only.... Are you saying kila ujualo ulishuhudia?? Jamani...... Dah! Mugabe ni mtu ambae hata choo chake habari huandikwa (au ulipitwa na ile habari ya askari alotiwa ndani baada ya kujisaidia choo cha Mugabe...hio ilikua hot news and a seven day news thump)
 
Hivi yule gavana wa benki kuu ya Zimbabwe aliyemkazie mkewe bado yupo zimbabwe au alishanyongwa?
 
japo inasemekana jogoo wa babu hawiki lakini analala vizuri.
 
ikibidi kuonja pepo ukingali mu dunia,,,,,,,,,,,,,, onja 222222. mwacheni babu wa wa2 asubiri zamu yake ya kum-Gaddafi
 
Mugabe alivyokuwa mkorofi utaweza kweli kuingia chumbani kwake ukapiga na picha yeye mwanywe ayupo??
 
Back
Top Bottom