Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
hata sisi tunaweza kumpangia sema bado tumelala angekuwa kila akitaka kuondoka au kurudi anatukuta uwanja wa ndege na mabango ya kutosha angepunguza huu ujinga na watanzania fanyeni kamawanachofanya usaMimi kama President Elect sishabikii sana safari za nje ya nchi, lakini kama ni utaratibu wake kajiwekea unachoweza kufanya kama mwananchi wa kawaida ni kutoa maoni na kumshauri Rais wetu, ila uamuzi wa mwisho ni wake mwenyewe. Nimtakie tu safari njema, na arudi salama.