Ninajogoo ila kila akipanda jike huyapasua kwa (paga) zake kiasi ambacho huwapelejea kuku jike hadi kukimbia kwa maumivu ya vidonda nini kifanyike juu ya huyu jogoo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm naomba ufafanuzi juu ya kujaza kituo unachotaka kuhamia kila nikijaza nabiwa kuwa kituo ulichojaza hakipo kwenye orodha yetu je unaipataje hiyo horodha ya watu wanaohitaji kubadilishana vituo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.