Recent content by GGIRRIMATA

  1. G

    Naomba msaada juu ya hili

    Ninajogoo ila kila akipanda jike huyapasua kwa (paga) zake kiasi ambacho huwapelejea kuku jike hadi kukimbia kwa maumivu ya vidonda nini kifanyike juu ya huyu jogoo? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. G

    MSAADA JAMANI

    Natumia tv sumsung ila nikiweka picha zinonesha rangi nyeupe tu kiasi ambacho inaniumiza macho nini kifanyike ili kurekebisha rangi
  3. G

    Hatimaye Utumishi wamefanyia kazi maoni ya MwanaJamiiForums kuhusu upatikanaji wa salary slip online

    Mm naomba ufafanuzi juu ya kujaza kituo unachotaka kuhamia kila nikijaza nabiwa kuwa kituo ulichojaza hakipo kwenye orodha yetu je unaipataje hiyo horodha ya watu wanaohitaji kubadilishana vituo
  4. G

    Mdhara ya mtoto kunywa maji machafu akiwa anazaliwa

    Kwa mwenye ufahamu please naomba jibu
  5. G

    Kitambulisho cha bima ya afya

    Unalipia elfu 20000 na kujaza tena taarifa kama ulivyokuwa umejaza katika ofice za bima
  6. G

    Mdhara ya mtoto kunywa maji machafu akiwa anazaliwa

    Ni madhara gani anayopata mtoto aliekunywa uchafu wa akiwa anazaliwa
  7. G

    Kwanini iwekupatwa kwa Jua na siyo kupatwa kwa Dunia?

    Jamani ufafanuzi zaidi juu ya hili kunamkanganyiko hapo tufundishe kipi sas?
  8. G

    Ijue mikoa inayoongoza kwa ngono zembe

    Mtoa mada ajue na kile anachokiongelea kinahusu nn hasa
  9. G

    Msaada jinsi ya kupata H+

    Naomba mnisaidie namna ya kupata H+ katika simu aina ya tecko j5 huwa inaandika 3G tu
  10. G

    Kati ya Tecno H6 na Huawei Y600 ipi ina ubora?

    Teckono H6 ndio mpango mzima.hata specification zake na uwezo wake unaonesha tofauti na vimeo vya huawei
Back
Top Bottom