Kati ya Tecno H6 na Huawei Y600 ipi ina ubora?

Kati ya Tecno H6 na Huawei Y600 ipi ina ubora?

LIKATUKATU

Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
25
Reaction score
0
mi siomtaalam sana wa haya mambo. naitaj kununua cm lakin cjajua hip n bora kulingana na chaguo langu kati tecno h6 na huawei y600 n hip ninunue?.napenda kukarbixha maon yenu wataalam.
 
Tecno H6 iko poa nina mwaka mmoja naitumia iko vizuri.
 
mkuu kati ya hizo mbili chukua tecno h6 unaweza ukaangalia specification ya hizo simu alafu angali wewe sasa unahitaji nini....
 
Zote vimeo, kama mfuko hauruhusu chukua samsung kama iphone huiwez, kama huwezi vyote ni bora ukatumia torch tu mazee
 
Mkuu chukua techno h6 imetulia wanao kushauri hilo wanakutakia mema,,
 
Kama kichwa ngumu nenda ukawe kama hao wanaolalamika camera zao za H6 zinazingua...af ukirud hum kuuliza kama hao wenzio tutamtuma mshenga kwenu
 
mi siomtaalam sana wa haya mambo. naitaj kununua cm lakin cjajua hip n bora kulingana na chaguo langu kati tecno h6 na huawei y600 n hip ninunue?.napenda kukarbixha maon yenu wataalam.

Sim za techno nying vimeo tu... Nimeshuhudia mwenyewe hapa... Nina techno h6 ukiongea kama dk 10 inashika moto.... Mwanzo nilikuwa naweza login TCU, heslb ila sasa inanigomea.
 
Teckono H6 ndio mpango mzima.hata specification zake na uwezo wake unaonesha tofauti na vimeo vya huawei
 
Tecno haitakiwi hata kufananishwa na Huawei,mi kwa ushauri wangu chukua Huawei Y600 mimi nina y530 zaidi ya mwaka haijanisumbua chochote.
 
mi siomtaalam sana wa haya mambo. naitaj kununua cm lakin cjajua hip n bora kulingana na chaguo langu kati tecno h6 na huawei y600 n hip ninunue?.napenda kukarbixha maon yenu wataalam.

usije linganisha tecno na huawei..

achana na hizo tecno na ndo simu zinazoongoza kwa kutaka misaada ya kiufundi humu jf.

binafsi sikushaur kutumia tecno ya aina yoyote.
 
usije linganisha tecno na huawei..

achana na hizo tecno na ndo simu zinazoongoza kwa kutaka misaada ya kiufundi humu jf.

binafsi sikushaur kutumia tecno ya aina yoyote.

Ushauri mzuri sana akiuzingatia!
 
Mm naona akanunue tecno
mtu anakuba 1gb ram 16gb hdd
Bei cheee.
Yani bora ukanunue yxtel lkn sio tecno nyingi hazivuki mwaka ikiwa nzima .leo unajifananisha na Huawei.mhhh
Kanunue y 600 .hutojutia
 
Back
Top Bottom